Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

By default Inter atacheza low block na kurely kwenye counter. Naassume Barcelona watarely kwenye hizi cross na wings ili kuisasambua hii defense.

Sisi pia tulijaribu hivyo dhidi ya Inter na tukatoka kapa. Tukatoka na possession ya 63% total shots 20, on target 4, off target 6 na shots 10 zote basi Lao lilihakikisha haupiti mpira wowote.

Tukawa na big chances 3 na zote tukamiss. With Barcelona hizi big chances 3 inawezekana 2 au moja ikamkuta Lewandowski, so obviously Barcelona ana chance ya kupita simply kwakua ana striker, na ni bonge la striker mshkaji.

Ni ngumu kwa msimu huu sisi kucheza na low block teams simply kwakua hatuna ST. Naona Barcelona akipita kwenye hii tie.
Lewandowski anaweza akakosa legs zote na Inter ana hamstring strain.

Pamoja na hayo kwa defence ya Inter ambayo mainly ime rely kwenye low block tunawahitaji zaidi Olmo pedri na lamine in their full potential.

Olmo ni mzuri kwenye ku break low blocks na ku operate between the lines.

Olmo ni mzuri wa kufanya quick turns in tight spaces,mzuri kwenye one touch play na very visionary kwenye ku pick out runners.

Hii inaweza kuwa advantage kwa kuharibu shape ya ulinzi ya Inter.

Muhimu asiumie tu maana jamaa ni injury prone.
 
Pia naona Arsenal tuna faida moja kwamba wachezaji wetu hawagewi presha, utagundua presha wanagewa timu pinzani zaidi kwa kuwaaminisha wanatakiwa kuitoa Arsenal.

MFano wakisema tunahitaji goli dk 15 za mwanzo kisha dakika ya 52 hata on target hakuna hii inazidi kuwapa presha. PSG hawajaufuata huu mtego pengine kwakua tushacheza nao na wameona ugumu.

Kuna mtangazaji alikua anasema "Watu wanaichukulia poa Arsenal kiasi kwamba hawaipi credit wanayostahili. Hivyo akishinda hawaoni strength ya Arsenal badala yake wanatafuta weakness ya mpinzani. Bila kujua hiyo weakness imekua exposed na strength ya Arsenal"
Arsenal mkikaza PSG mnawatoa.

Defensively PSG sio wazuri na wanapoteza sana chances wanazo create.

Huwezi kuhitaji clear chances 5 ku score only one goal kwenye hatua kama hizi ni makosa.

Arsenal yuko bora sana kwenye defence na hii ndo strength kubwa ya Arsenal pia hata kwenye kuzitumia nafasi wanazotengeneza wanajitahidi hawapotezi nafasi kijinga kama PSG.

Arsenal akitia PSG anaondoka.
 
Lewandowski anaweza akakosa legs zote na Inter ana hamstring strain.

Pamoja na hayo kwa defence ya Inter ambayo mainly ime rely kwenye low block tunawahitaji zaidi Olmo pedri na lamine in their full potential.

Olmo ni mzuri kwenye ku break low blocks na ku operate between the lines.

Olmo ni mzuri wa kufanya quick turns in tight spaces,mzuri kwenye one touch play na very visionary kwenye ku pick out runners.

Hii inaweza kuwa advantage kwa kuharibu shape ya ulinzi ya Inter.

Muhimu asiumie tu maana jamaa ni injury prone.
Alivyoomba sub jana ilikua ishu serious kumbe?

But defense yenu isipojikaza Lautaro siyo mbaya kabisa mbele ya goli. Forward yenu ipo vizuri ila defense yenu inaruhusu magoli mengi
 
Screenshot_2025-04-20-15-08-54-242_com.instagram.android-edit.jpg
 
Back
Top Bottom