hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,471
- 12,004
Lewandowski anaweza akakosa legs zote na Inter ana hamstring strain.By default Inter atacheza low block na kurely kwenye counter. Naassume Barcelona watarely kwenye hizi cross na wings ili kuisasambua hii defense.
Sisi pia tulijaribu hivyo dhidi ya Inter na tukatoka kapa. Tukatoka na possession ya 63% total shots 20, on target 4, off target 6 na shots 10 zote basi Lao lilihakikisha haupiti mpira wowote.
Tukawa na big chances 3 na zote tukamiss. With Barcelona hizi big chances 3 inawezekana 2 au moja ikamkuta Lewandowski, so obviously Barcelona ana chance ya kupita simply kwakua ana striker, na ni bonge la striker mshkaji.
Ni ngumu kwa msimu huu sisi kucheza na low block teams simply kwakua hatuna ST. Naona Barcelona akipita kwenye hii tie.
Pamoja na hayo kwa defence ya Inter ambayo mainly ime rely kwenye low block tunawahitaji zaidi Olmo pedri na lamine in their full potential.
Olmo ni mzuri kwenye ku break low blocks na ku operate between the lines.
Olmo ni mzuri wa kufanya quick turns in tight spaces,mzuri kwenye one touch play na very visionary kwenye ku pick out runners.
Hii inaweza kuwa advantage kwa kuharibu shape ya ulinzi ya Inter.
Muhimu asiumie tu maana jamaa ni injury prone.