Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jana timu zote zilipigwa ugenini ila zikashinda nyumbani. Tatizo ni kwamba zilishindwa kusonga mbele kwenye mashindano. Tatizo lingine linaloweza kuja kwetu ni kwamba Madrid anakuwa kapata matumaini kwamba kumbe kupindua meza kunawezekana na kwamba yeye akijiboresha kidogo zaidi, anaweza kututoa. Nategemea Madrid atuletee mpira wa high energy na atukabie juu ila akikosea tukawapiga counter, tunaweza kuwamaliza kabisa. Sisi leo kazi yetu ni kuwanyima nafasi za kufunga, huku sisi tukitumia vizuri zile chache tutakazopata.

Au tuache mawazo bhanaaaa. Tuwapigie ule mpira tuliowapigia Emirates tumalize mchezo na aggregate ya 7-0.
Ni kuwawekea kontena tu, Psg anatusubiri kule Nusu
 
Madrid akifanikiwa kupiga comeback na kuwafurusha Uefa, mimi nawashauri mtafute tu chimbo la kwenda kujificha maana sio kwa masimango ambayo tumewaandalia
1713620936311.jpg
 
Aisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.

Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.
😹😹 subiri uone kitakachowakuta leo hao Madrid..!!
 
Nwankwo Kanu speaks:It is very unbecoming that Real Madrid thinks that they are only the team that is ready to play the game on Wednesday.
I have been reading the players statement on coming back to the game to beat Arsenal,and I am tempted to ask,are they going to be the only players on the pitch?
This is a game of 11 vs 11 men on that day.

However,I am impressed the way and manner Arsenal players have managed it’s cool by not speaking to the press but working hard to move to the next stage of the UCL.


Well Said Legend.
IMG-20250415-WA0035.jpg
 
Jana timu zote zilipigwa ugenini ila zikashinda nyumbani. Tatizo ni kwamba zilishindwa kusonga mbele kwenye mashindano. Tatizo lingine linaloweza kuja kwetu ni kwamba Madrid anakuwa kapata matumaini kwamba kumbe kupindua meza kunawezekana na kwamba yeye akijiboresha kidogo zaidi, anaweza kututoa. Nategemea Madrid atuletee mpira wa high energy na atukabie juu ila akikosea tukawapiga counter, tunaweza kuwamaliza kabisa. Sisi leo kazi yetu ni kuwanyima nafasi za kufunga, huku sisi tukitumia vizuri zile chache tutakazopata.

Au tuache mawazo bhanaaaa. Tuwapigie ule mpira tuliowapigia Emirates tumalize mchezo na aggregate ya 7-0.
Bruv Madrid inacheza kwa makosa. Games zao ukiangalia unajiuliza wanapinduaje meza bila mkono wa marefa. Na hapo ni wanacheza na vilabu ambavyo havina better defence
 
ni ngumu sana madrid kurudi kwa sababu hawawez kutupa mechi ngumu kabisa,hawawez kutuweka kwenye pressure ambayo city wanatuwekaga,kwenye timu zote zilizobakiwa nane bora,sisi nachangamoto zetu za kukosa foward tupo compactible zaidi ya timu zote
Kuna Inter Milan
 
Back
Top Bottom