Chura kabisaHuyu jamaa anakaribia kuleosha kitanda, tumwamshe au tumuache?
Chura kabisaHuyu jamaa anakaribia kuleosha kitanda, tumwamshe au tumuache?
Ni kuwawekea kontena tu, Psg anatusubiri kule NusuJana timu zote zilipigwa ugenini ila zikashinda nyumbani. Tatizo ni kwamba zilishindwa kusonga mbele kwenye mashindano. Tatizo lingine linaloweza kuja kwetu ni kwamba Madrid anakuwa kapata matumaini kwamba kumbe kupindua meza kunawezekana na kwamba yeye akijiboresha kidogo zaidi, anaweza kututoa. Nategemea Madrid atuletee mpira wa high energy na atukabie juu ila akikosea tukawapiga counter, tunaweza kuwamaliza kabisa. Sisi leo kazi yetu ni kuwanyima nafasi za kufunga, huku sisi tukitumia vizuri zile chache tutakazopata.
Au tuache mawazo bhanaaaa. Tuwapigie ule mpira tuliowapigia Emirates tumalize mchezo na aggregate ya 7-0.
Unaota? hamna come back au come forwardMadrid akifanikiwa kupiga comeback na kuwafurusha Uefa, mimi nawashauri mtafute tu chimbo la kwenda kujificha maana sio kwa masimango ambayo tumewaandalia
View attachment 3306278
😹😹 subiri uone kitakachowakuta leo hao Madrid..!!Aisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.
Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.
Wewe uko kama mimi.Zote ni timu pendwa kwangu lakini The Gunners are at most. Leo the los brancos hawana chao kabisa

Nwankwo Kanu speaks:It is very unbecoming that Real Madrid thinks that they are only the team that is ready to play the game on Wednesday.Unyama mwingi😹😹 subiri uone kitakachowakuta leo hao Madrid..!!
Bruv Madrid inacheza kwa makosa. Games zao ukiangalia unajiuliza wanapinduaje meza bila mkono wa marefa. Na hapo ni wanacheza na vilabu ambavyo havina better defenceJana timu zote zilipigwa ugenini ila zikashinda nyumbani. Tatizo ni kwamba zilishindwa kusonga mbele kwenye mashindano. Tatizo lingine linaloweza kuja kwetu ni kwamba Madrid anakuwa kapata matumaini kwamba kumbe kupindua meza kunawezekana na kwamba yeye akijiboresha kidogo zaidi, anaweza kututoa. Nategemea Madrid atuletee mpira wa high energy na atukabie juu ila akikosea tukawapiga counter, tunaweza kuwamaliza kabisa. Sisi leo kazi yetu ni kuwanyima nafasi za kufunga, huku sisi tukitumia vizuri zile chache tutakazopata.
Au tuache mawazo bhanaaaa. Tuwapigie ule mpira tuliowapigia Emirates tumalize mchezo na aggregate ya 7-0.
Kuna Inter Milanni ngumu sana madrid kurudi kwa sababu hawawez kutupa mechi ngumu kabisa,hawawez kutuweka kwenye pressure ambayo city wanatuwekaga,kwenye timu zote zilizobakiwa nane bora,sisi nachangamoto zetu za kukosa foward tupo compactible zaidi ya timu zote
Unatafuta bikra wodi ya wazazi sioLile boya linafuga mzuzu rudriger litawatoa machozi leo dkk za jioni na goli la komwe 😁
Mpe away ov 1.5Sasa itakuwaje wanangu 😅😅😅
Kibumbu kitachemmka!!!Ila unajua kua huku CL Arsenal ishakutana na PSG?
Na PSG akafungwa?
Na liver mkaamini kama Arsenal alishinda nyinyi mtaifunga PSG pia?
AzamTV hawana leseni ya kuonesha EPL Wala UEFA Champions leagueWakuu naomba kufahamu kama azam wataonesha hii mechi