Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta has totally changed our life..
Rivals wetu wamegeuka kua motivational speakers..

Everytime scare us about Madrid..Mpaka Sasa they don't believe Modric,Jude na Camavinga were pocketed na Partey..

Leo tena tunaenda kupiga pale pale panapouma.🫣
 
Duh kumbe goli 3 sio nyingi asee
goli 3 ni nyingi ukiwa ugenini, ila ukiwa kwako sio nyingi kabisa, hata Villa na Dortmund wanalijua hilo.
Madrid mcheza kwao leo hutunzwa.
images-3.jpg
 
Mechi watu wameitolea macho ni yetu kuliko Inter na Bayern.
Mechi yenu na Madrid haipo open sana Madrid anaweza kupiga come back(japo mimi sioni Madrid akipiga come back).

Inter ba Buyern hii labda mpira udunde tu lakini unajua kabisa Inter anatoboa.
 
Mechi yenu na Madrid haipo open sana Madrid anaweza kupiga come back(japo mimi sioni Madrid akipiga come back).

Inter ba Buyern hii labda mpira udunde tu lakini unajua kabisa Inter anatoboa.
Kila mtu anawaza hilo linaweza kutokea kwa kuzingatia history ya Madrid UCL.

Hii inasababisha Arsenal isizingatiwe 100% which is even better coz hatuna presha
 
Arteta has totally changed our life..
Rivals wetu wamegeuka kua motivational speakers..

Everytime scare us about Madrid..Mpaka Sasa they don't believe Modric,Jude na Camavinga were pocketed na Partey..

Leo tena tunaenda kupiga pale pale panapouma.🫣
Huyu jamaa anakaribia kuleosha kitanda, tumwamshe au tumuache?
 
REMONTADA ,,,,,, kila ukikutana na mtu yoyote jijin Madrid, pamoja na viunga vyake, ukisogea mpaka offcn kwa pèrez, kuanzia walinzi , wafagizi na wafanyakaz wengine ukiwasemesha hawaongei chochote zaidi ya neno Remontada !

REMONTADA
 
Arteta has totally changed our life..
Rivals wetu wamegeuka kua motivational speakers..

Everytime scare us about Madrid..Mpaka Sasa they don't believe Modric,Jude na Camavinga were pocketed na Partey..

Leo tena tunaenda kupiga pale pale panapouma
Tunapiga kwenye mshono
 
Jana timu zote zilipigwa ugenini ila zikashinda nyumbani. Tatizo ni kwamba zilishindwa kusonga mbele kwenye mashindano. Tatizo lingine linaloweza kuja kwetu ni kwamba Madrid anakuwa kapata matumaini kwamba kumbe kupindua meza kunawezekana na kwamba yeye akijiboresha kidogo zaidi, anaweza kututoa. Nategemea Madrid atuletee mpira wa high energy na atukabie juu ila akikosea tukawapiga counter, tunaweza kuwamaliza kabisa. Sisi leo kazi yetu ni kuwanyima nafasi za kufunga, huku sisi tukitumia vizuri zile chache tutakazopata.

Au tuache mawazo bhanaaaa. Tuwapigie ule mpira tuliowapigia Emirates tumalize mchezo na aggregate ya 7-0.
 
Tukiwapiga Madrid leo nitakuwa kama huyu mwenye kofia.
Wakitupiga nitaendelea kuwapa mkono washinde kombe ila kwa leo wanisamehe tu, acha tuwapunzishe wakapambanie La Liga.


 
ni ngumu sana madrid kurudi kwa sababu hawawez kutupa mechi ngumu kabisa,hawawez kutuweka kwenye pressure ambayo city wanatuwekaga,kwenye timu zote zilizobakiwa nane bora,sisi nachangamoto zetu za kukosa foward tupo compactible zaidi ya timu zote
 
Back
Top Bottom