Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,384
- 3,261
Duh kumbe goli 3 sio nyingi asee
Mpumbavu niwewe mbwaNyie wapumbavu kesho mkamtoe Madrid
Lkn PSG watawaondoa
Nyie ni wapumbavu tu
Duh kumbe goli 3 sio nyingi asee


goli 3 ni nyingi ukiwa ugenini, ila ukiwa kwako sio nyingi kabisa, hata Villa na Dortmund wanalijua hilo. Mechi yenu na Madrid haipo open sana Madrid anaweza kupiga come back(japo mimi sioni Madrid akipiga come back).Mechi watu wameitolea macho ni yetu kuliko Inter na Bayern.
Kila mtu anawaza hilo linaweza kutokea kwa kuzingatia history ya Madrid UCL.Mechi yenu na Madrid haipo open sana Madrid anaweza kupiga come back(japo mimi sioni Madrid akipiga come back).
Inter ba Buyern hii labda mpira udunde tu lakini unajua kabisa Inter anatoboa.
Huyu jamaa anakaribia kuleosha kitanda, tumwamshe au tumuache?Arteta has totally changed our life..
Rivals wetu wamegeuka kua motivational speakers..
Everytime scare us about Madrid..Mpaka Sasa they don't believe Modric,Jude na Camavinga were pocketed na Partey..
Leo tena tunaenda kupiga pale pale panapouma.🫣
Ila watu huwa mnateswa sana na Arsenal 😂🙌
Tunapiga kwenye mshonoArteta has totally changed our life..
Rivals wetu wamegeuka kua motivational speakers..
Everytime scare us about Madrid..Mpaka Sasa they don't believe Modric,Jude na Camavinga were pocketed na Partey..
Leo tena tunaenda kupiga pale pale panapouma
inazungumzwa Sana, wengine wanategemea madrid kupindua meza ili wapate la kuongeaMechi watu wameitolea macho ni yetu kuliko Inter na Bayern.