Kweli kabisaaTimu ikiwa inakutana na Arsenal rival huwa wanaipamba sn, ila ikishafungwa inakuwa mbovu ghafla, Real Madrid na Psg ni wazuri paka pale watakapotolewa na Arsenal
Sheria kikawaida mechi ukiheza Leo inatakiwa kucheza nyingine baada ya masaa 72.Hawa PSG baada ya game ya jana hawana tena mechi yoyote mpaka wiki ijayo wanapokutana tena na Villa waliowapiga 3 - 1.
Wakati huo huo Villa atacheza na Soton tarehe 12 halafu tarehe 15 anatakiwa akutane na PSG kuwalipa hiki kipigo.
Huku kwingine ni Arsenal ana mechi tarehe 12 dhidi ya Brentford halafu tarehe 16 ana mechi dhidi ya Madrid. Yeye Madrid ana mechi tarehe 13 dhidi ya Deportivo Alaves halafu on 16th anatakiwa kufanya comeback dhidi ya Arsenal.
Hii ratiba inampika Villa
Aston Villa na Bayern noma bora hao hao psgkitu watu hawajui mechi dhid ya timu za spain na psg ni mechi arsenal zinauafadhali sana kuliko inter milan,bayern na astonvilla
Hakuna sheria inayoelekeza muda wa kupumzika. Kote UEFA na FIFA.Sheria kikawaida mechi ukiheza Leo inatakiwa kucheza nyingine baada ya masaa 72.
Last time tumemtoa real madrid tulienda all the way to the final tukakutana na barca, tukafungwa kwa ajili ya kadi nyekundu ya Magumashi.Hawa Barcelona wanapiga mpira aisee. Natamani tukutane nao fainali ikiwezekana ili tujipime nao. Tukiwapiga tunabeba kombe na wakitupiga tunakuwa tumepata somo zuri na tumaini ni tutaboresha kikosi kwa ajili ya kupambana na upinzani wa level ile, kwa msimu ujao.
Duuh!Barcelona sio timu ya kututishia nyau hata kidogo, Barcelona bila Messi hamna sumu
Juzi ndio nimeona kwa mara ya kwanza mashabiki wa real madrid wakimtaka carlo ancellot amfanyie Sub Vinicius mara tu baada ya kipindi cha kwanza, halafu mbappe aende kushoto wakiamini kwamba Mbappe ndio atawezana na Timber....🤣🤣𝐉𝐮𝐫𝐫𝐢𝐞𝐧 𝐓𝐢𝐦𝐛𝐞𝐫 𝐯𝐬. 𝐕𝐢𝐧í𝐜𝐢𝐮𝐬 𝐉𝐫.
Arsenal made a bold call — pushing Bukayo Saka high up the pitch and trusting Jurrien Timber to handle Vinícius Jr. 1v1. And he delivered flawlessly.
With composure, precision, and those trademark telescopic legs, Timber shut down one of the world’s most dangerous wingers. Even if you get past him once, he’s right back on you — you have to beat him twice to escape, and Vini couldn’t do it.
Let’s not forget: Timber is only 23 and just returned from an ACL injury. To come back this strong, this sharp, and this fearless — it’s simply elite.
Vinícius Jr. vs Arsenal:
•goals
•assists
•shots on target
•chances created
•key passes
•successful dribbles
•accurate crosses
Jurrien Timber in Arsenal’s 3-0 win over Real Madrid:
◉ 𝙈𝙊𝙎𝙏 duels won – 𝟴
◉ 𝙈𝙊𝙎𝙏 tackles – 𝟯
◉ 𝟰𝟴/𝟱𝟭 passes completed
◉ 𝟱 ball recoveries
A world-class performance. Timber didn’t just pass the test — he shut the lights off on one of football’s brightest stars.View attachment 3298708
Aaah aah inter hipi ya kumfunga Barcelona?Last time tumemtoa real madrid tulienda all the way to the final tukakutana na barca, tukafungwa kwa ajili ya kadi nyekundu ya Magumashi.
Ni matumaini yangu msimu huu historia itajirudia tena ya kukutana na barca fainali, japo napata mashaka kama huyo barca atatoboa kwa inter.
Huwa nikimuona Timber uwanjani nakuwa na amani sana. Ndiye beki wa kwanza kwetu ninayemuamini, akufuatwa na wengine sasa akina Saliba na Gabriel.Juzi ndio nimeona kwa mara ya kwanza mashabiki wa real madrid wakimtaka carlo ancellot amfanyie Sub Vinicius mara tu baada ya kipindi cha kwanza, halafu mbappe aende kushoto wakiamini kwamba Mbappe ndio atawezana na Timber....🤣🤣
Na pia vile vile nikaona wanapondea Carlo kwa kumpanga valverde RB, baada ya Martnell kumfanya chujio na kuwakumbusha kuwa Valverde sio RB na wakati hapo kabla hao hao mashabiki walikuwa wanataka yeye ndio acheze nafasi ya RB kwa mechi zote za msimu zilizobaki...🤣🤣
Baada ya mechi sasa, Carlo out.. sijui very clueless tactically, just depends on player's individual quality and lucky, you are not my coach....yaani ilikuwa ni vituko na kuchanganyikiwa juu
HIYO no sheria ya Fifa na juzi tu hapo Madrid wametoka kuletea mzozo laliga kutokuheshimu sheria HIYO baada ya wao kutoka kuclash na Atletico chini ya Saa 72 wakacueze game nyngine.Hakuna sheria inayoelekeza muda wa kupumzika. Kote UEFA na FIFA.
Isipokua utaratibu unaofuatwa ni kwamba angalau mchezaji apumzike kwa saa 48-72 kabla ya kucheza mechi nyingine
Hahaha... mzee huwa unawaangalia lakini Inter namna wanavyocheza?Aaah aah inter hipi ya kumfunga Barcelona?
Unachekesha.
Pia ni ngumu kuwavizia kwenye transition, mara nyingi wakiwa wanashambulia, viuongo na mabeki wao wa kati wanatengeneza dynamic balance na cordinated movements ambazo inawapa urahisi wao kurudi golini kwa haraka na kuokoa shambulizi.
Timu inayocheza kimfumo haiwezi kunitisha sababu resources tunazo, kama mngekuwa na Messi, ok, naogopa tu timu yenye individual brilliance dhidi ya Arsenal lkn sijui tactics na mifumo hakuna kitu kocha wetu asichokijua, hamna jipya.Duuh!
Wewe sidhani hata kama mechi za Barcelona unaangalia.
Barcelona ya msimu huu inatisha sana sio timu rahisi kama wewe unavyodhani.
Huyo madrid mbovu mliyemfunga asiwadanganye mkajiona mna uwezo wa kuifunga Barcelona.
Huyo Madrid ambaye nyie mmemfunga 3 tena mkiwa kwenu mimi nimeshamfunga 4-0 akiwa kwao nishamfunga 5-2
Nguvu ya kuichukulia poa Barcelona sijui mnaitolea wapi!
Nielewe kidogo.HIYO no sheria ya Fifa na juzi tu hapo Madrid wametoka kuletea mzozo laliga kutokuheshimu sheria HIYO baada ya wao kutoka kuclash na Atletico chini ya Saa 72 wakacueze game nyngine.
Nalijua vizuri kabisa kikubwa ni upite kwa PSG KwanzaMashabiki wa siku hizi ni clueless.
Unajua kama PSG kashafungwa na Arsenal? Michuano hii hii?
Fifa na PFA walipoongelea mandatory reset ya calendar walikusudia Nini.. Mana naona Madrid kagomea na wametoa msimamo wao na sijaona Laliga wakiupinga.Nielewe kidogo.
Hakuna sheria. Ila ni utaratibu unaofuatwa.
Sheria ingekuepo timu nyingi zingekua zinairefer, haipo ndiyo sababu zinaishia kulalamika tu.
Lamine Yamal sio individual brilliance?Timu inayocheza kimfumo haiwezi kunitisha sababu resources tunazo, kama mngekuwa na Messi, ok, naogopa tu timu yenye individual brilliance dhidi ya Arsenal lkn sijui tactics na mifumo hakuna kitu kocha wetu asichokijua, hamna jipya.
Lewandowski ana goli ngapi za UEFA msimu huu?Hahaha... mzee huwa unawaangalia lakini Inter namna wanavyocheza?
Katika timu zote ulaya hao jamaa ndio walioweza kuipatia formation ya 3-5-2
Kwanza ni ngumu sana kupitisha through balls maana muda mwingi katikati wanakuwa na msitu wa watu, na timu kama Barcelona chances nyingi anazitengeneza kwa penetration passes za akina Pedri.
Pia wako vuzuri sana kufanya finishing za counter attacks, Thuram na Martnez wamekuwa wakifanya perfect interchanging hata mbele ya mabeki wanne... sasa hapa tutegemee Barcelona na high defensive line yao wakipikikwa kweli kweli.
Mpaka sasa hivi Inter ndio timu p iliyoruhusu goli chache kuliko timu zote zilizobaki, Inter wame concede goli 3 tu tangu msimu unaanza, sasa unategemea hii timu ndio utaitoa na striker wako Lewandowsky???
Si umeona hapo imetajwa tu kama 'Rule'Fifa na PFA walipoongelea mandatory reset ya calendar walikusudia Nini.. Mana naona Madrid kagomea na wametoa msimamo wao na sijaona Laliga wakiupinga.View attachment 3299159
Kuna kipi hapa ?