Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanawake wetu washawatoa wanawake wa Madrid huko. Semi final itakuwa na Lyon ambao nakumbuka walikuwa maarufu kwa kupiga ball hatari. Kila la heri kwa Arsenal, tufike fainali.

Kazi ipo kwa timu ya wanaume pia sasa.
Waooooh!!!!Tumechomoa zile mbili!!!!

Si mchezo
 
20250327_050817.jpg
 
mzee raphinha huyu huyu wa Brazil?, basi hauko serious🤣😂.

arsenal hatuna mtu wa hivyo mzee, yule ni pro sio amateur wetu kina harvetz, martineli
Arsenal imejitahidi kua na wachezaji ambao hawawezi mwambia mpinzani 'Fuc..k you'

Kuna kipindi Barca walitaka kumuuza Raphinha, akagoma kuondoka akaturn up ndiyo leo inakupa jeuri ya kusema Arsenal hakuna mtu kama yeye.

Is he good? Yes
 
Arsenal imejitahidi kua na wachezaji ambao hawawezi mwambia mpinzani 'Fuc..k you'

Kuna kipindi Barca walitaka kumuuza Raphinha, akagoma kuondoka akaturn up ndiyo leo inakupa jeuri ya kusema Arsenal hakuna mtu kama yeye.

Is he good? Yes
mkuu hiyo ni derby na uki fatilia ni battle tu ya muda mrefu baina ya wachezaji, so kawaida.

huja angalia namna wa Argentina wali kuwa rough pia?
 
Mmeamua kujiliwaza huku lakini the sad ly hata huku mtatoka patupu (with zero trophy). Au unabisha?
Hua naona ugumu kukujibu kitu kwakua una tabia ya kuhamisha magoli, haujui unachotetea, you tend to be all over the place with quotes ambazo hazimake sense.

Arsenal Women anamface Lyon. Lyon ni Real Madrid ya female football, but Arsenal kashamfunga Lyon 5 - 1, Arsenal ishachukua UEFA, ikichukua na hii inakua kombe la pili.

Nini kinafanya uhisi Lyon atatoka kwa Arsenal?
 
Hua naona ugumu kukujibu kitu kwakua una tabia ya kuhamisha magoli, haujui unachotetea, you tend to be all over the place with quotes ambazo hazimake sense.

Arsenal Women anamface Lyon. Lyon ni Real Madrid ya female football, but Arsenal kashamfunga Lyon 5 - 1, Arsenal ishachukua UEFA, ikichukua na hii inakua kombe la pili.

Nini kinafanya uhisi Lyon atatoka kwa Arsenal?
Ugumu lazima uwepo unaweza mkujibu vipi mtu ambaye tayari ana kombe 😆.
Hapo kwenye arsenal kashachukua uefa rekebisha sema ivi “ Arsenal ya wanawake ishawahi kuchukua uefa ya wanawake “ sasa unataka ku generalize kua arsenal kachukua uefa , mpaka kesho watu wote wanajua arsenal hana uefa !! Ushahidi huu hapa chini😂😂
 

Attachments

  • IMG_2655.jpeg
    IMG_2655.jpeg
    348.9 KB · Views: 10
Castr point yangu si nyinyi kucheza uefa ila ni uhakika kuwa mmeamua kukimbilia kwenye league ya mademu kujiliwaza ambapo mpaka huko nako mwaka huu mnatoka empty si league wla uefa women champions league
 
Ugumu lazima uwepo unaweza mkujibu vipi mtu ambaye tayari ana kombe 😆.
Hapo kwenye arsenal kashachukua uefa rekebisha sema ivi “ Arsenal ya wanawake ishawahi kuchukua uefa ya wanawake “ sasa unataka ku generalize kua arsenal kachukua uefa , mpaka kesho watu wote wanajua arsenal hana uefa !! Ushahidi huu hapa chini😂😂
Ndiyo maana nasema una matatizo ya kuhamisha magoli.

Kama hapa tunaongelea wanawake na hata mimi nakuuliza juu ya mechi inayofuata ya wanawake hiki ulichoandika kinarelate?

Anyway, sipotezi brain cells tena.
 
Back
Top Bottom