BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Waooooh!!!!Tumechomoa zile mbili!!!!Wanawake wetu washawatoa wanawake wa Madrid huko. Semi final itakuwa na Lyon ambao nakumbuka walikuwa maarufu kwa kupiga ball hatari. Kila la heri kwa Arsenal, tufike fainali.
Kazi ipo kwa timu ya wanaume pia sasa.
Si mchezo