Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The end, the end. Make sense of that. Where on earth are we now? A night of dismay.

"A night of hope lost and restored. A night of salvation. A night of despair and elation. A night of such raw emotion. And at the end of it all, curiously, we are where we started.

"A goal in the very first minute, so nearly a winning goal in the 100th minute. At times Arsenal seemed broken. At times the Saints seemed utterly alive and now they are both suspended amid disbelief."

False hopers mnaikumbuka hii siku?. Hii ndo siku nilijitoa rasmi false hopuni 😂. Nembu false hopers kina castr, mkorea, henry na arsenal 2004 kaisikilizeni tena vile peter dury alivyokua anasema na kina saka , gabriel , mwanangu nelson na ben white wanagaragara chini it was sad moment kuliko hata 2006 final ya uefa.
 
Arsenal 3:3 soton hii ndo match niliamini kabisa arsenal hatakaa abebe EPL kwa miaka 100 ijayo 😆. Ni bora man utd na chelsea wanaojitafuta huko watajipata na watabeba makombe zaidi ya mara moja huku arsenal akiwa patupu .

Kabla ya hii game arsenal alikua ametoka kusare game mbili nyuma ambazo zote alikua anaongoza 2:0 , ndo ikafika hii game sasa ramsdale kachoma nikaona mpira wavuni.
Hatujatulia kidogo akapewa mwanetu walcot daah bila hiyana akapiga kama henry vile chuma cha pili bora angeona hata huruma akapaisha 😂.

Zincheko nakumbuka akawaita watu wote katikati ya dimba wakazunguka mduara sijui akawaambia nini vile goli 1 likarudi si unajua harakati za false hopes zilivyo. Tukajua ushindi upo hapa kama Bournemouth vile 3:2
Mara chuma cha tatu 😂😂😂 watu hawaamini pale pale emirates.

Game inaisha 3:3 refa anapuliza kipenga naona ben white , odergard, magnales wakajitupa kama mizigo saka anachuchuma haamini , Southampton team ya mwisho ndani ya emirates match ya kuamua ubingwa lakini bado holla!!! Halafu leo kina mkorea na castr bado wanaamini watabeba ubingwa au uefa 😂😂😂😂.
Mnabidi mjipige vifuani mara 21 mkikiri “ naam sisi ni false hopers tumekosa tusamehe eeeh BABA” maana hii imani mngeipeleka kwenye dini saivi mngekua mmetwaliwa kama nabii eliya na si kufa😆
 
Arsenal 3:3 soton hii ndo match niliamini kabisa arsenal hatakaa abebe EPL kwa miaka 100 ijayo . Ni bora man utd na chelsea wanaojitafuta huko watajipata na watabeba makombe zaidi ya mara moja huku arsenal akiwa patupu .

Kabla ya hii game arsenal alikua ametoka kusare game mbili nyuma ambazo zote alikua anaongoza 2:0 , ndo ikafika hii game sasa ramsdale kachoma nikaona mpira wavuni.
Hatujatulia kidogo akapewa mwanetu walcot daah bila hiyana akapiga kama henry vile chuma cha pili bora angeona hata huruma akapaisha .

Zincheko nakumbuka akawaita watu wote katikati ya dimba wakazunguka mduara sijui akawaambia nini vile goli 1 likarudi si unajua harakati za false hopes zilivyo. Tukajua ushindi upo hapa kama Bournemouth vile 3:2
Mara chuma cha tatu watu hawaamini pale pale emirates.

Game inaisha 3:3 refa anapuliza kipenga naona ben white , odergard, magnales wakajitupa kama mizigo saka anachuchuma haamini , Southampton team ya mwisho ndani ya emirates match ya kuamua ubingwa lakini bado holla!!! Halafu leo kina mkorea na castr bado wanaamini watabeba ubingwa au uefa .
Mnabidi mjipige vifuani mara 21 mkikiri “ naam sisi ni false hopers tumekosa tusamehe eeeh BABA” maana hii imani mngeipeleka kwenye dini saivi mngekua mmetwaliwa kama nabii eliya na si kufa
Ndugu yangu Labyrinth 84 naona kwa makusudi kabisa umeamua hawa Arsenyau wasifurahie pilau lao la sikukuu, yaani hiki unachowafanyia ni sawa na kusubiria kidonda kinaanza kukauka halafu unakisugua na msasa.
 
Hili halina msaada nyinyi kubeba EPL , mbona Jorginho ile 22 alipiga goli la ushindi vs Aston villa , kila siku cashmoney analalamika kuongezewa hela kwa jorginho😂😂
Ungesubiri kidogo mkuu ndiyo uhamie kwa mijusi milia. Sisi hapa tunasubiri makombe mawili watayonyang'anywa mama C115y wataposhushwa daraja. Halafu bado muda si mrefu tutachukua mengi tu ya kushinda kwa kuongoza ligi.
 
Ungesubiri kidogo mkuu ndiyo uhamie kwa mijusi milia. Sisi hapa tunasubiri makombe mawili watayonyang'anywa mama C115y wataposhushwa daraja. Halafu bado muda si mrefu tutachukua mengi tu ya kushinda kwa kuongoza ligi.
Hizi ndoto na false hope nilizikataa sasa nipo kwa geordie tunanyanyua makombe tu kule na hapo tunatafuta beki 1 world classic tupambanie EPL
 
Hizi ndoto na false hope nilizikataa sasa nipo kwa geordie tunanyanyua makombe tu kule na hapo tunatafuta beki 1 world classic tupambanie EPL
Mabeki world class wote tumewachukua sisi wamejazana pale Emirates. Tatizo letu ni striker tu na ndiyo hivyo kiangazi tunakuja hapo kumchukua Isak. Next season makombe yatakuwa mengi kwetu mpaka tutajenga ukumbi mkubwa tu wa kuyahifadhi.
 
Leo chama la wana lipo dimbani kutoa burudani ya soka safi na magoli ya video

Wale wa pira magimbi pira kande pira papatu papatu pira gombania goli (nyumbu, kenge n.k) mnakaribishwa
20250202_214351.jpg
 
Mabeki world class wote tumewachukua sisi wamejazana pale Emirates. Tatizo letu ni striker tu na ndiyo hivyo kiangazi tunakuja hapo kumchukua Isak. Next season makombe yatakuwa mengi kwetu mpaka tutajenga ukumbi mkubwa tu wa kuyahifadhi.
Tatizo false hopers mnaamini sana halafu ni wepesi wa kusahau.
Umenikumbusha 2008 Gallas kakaa chini uwanjani haamini kama aliondoka chelsea akaja kwa team yenye false hope kiasi kile😂.
Game zilikua zimebaki sijui 10 mchukue ubingwa mara paap clichy huyo kafanya rafu tuta likawekwa hope za ubingwa zikageuka kuwa false hope.

Mpira ni burudani na furaha sadly ukiwa arsenal fan ni opposite kwa miaka 20 yote nyinyi ni huruma na simanzi always si kwa mashabiki , kocha hata wachezaji.
Hakuna story ya furaha kwa arsenal labda tu pale unapoitaja arsenal mbele ya mashabiki wa chelsea, man utd , man city , Liverpool lazima watacheka 😂😂😂
 
Berta amezungumza na camp ya Victor.

Mashabiki tumegawanyika kuna wanaoprefer Victor na wengine Isak but financially ni sahihi zaidi kudeal na Victor.

Argument wanayompinga Victor ni umri na kwamba alishafeli EPL. But De Bruyne na Salah walishafeli EPL kabla ya kurudi tena.

Upingaji kwa Isak ni price tag ambayo ni kama 130M. Ukitoa hii inabidi usisajili baadhi ya nafasi. Hata hivyo binafsi naona Isak atafanya vizuri zaidi Liverpool au United kuliko kwetu pia alishakosa mechi kadhaa kwaajili ya injury.

That being said I think ni bora tudeal na Victor.
 
Berta amezungumza na camp ya Victor.

Mashabiki tumegawanyika kuna wanaoprefer Victor na wengine Isak but financially ni sahihi zaidi kudeal na Victor.

Argument wanayompinga Victor ni umri na kwamba alishafeli EPL. But De Bruyne na Salah walishafeli EPL kabla ya kurudi tena.

Upingaji kwa Isak ni price tag ambayo ni kama 130M. Ukitoa hii inabidi usisajili baadhi ya nafasi. Hata hivyo binafsi naona Isak atafanya vizuri zaidi Liverpool au United kuliko kwetu pia alishakosa mechi kadhaa kwaajili ya injury.

That being said I think ni bora tudeal na Victor.
Sijui Viktor na Isak wanaushindani gani kwenye timu ya taifa na sijui hata Swedden wanatumia mfumo gani, ila nafikiri Isak yuko mbele yake kwenye uchaguzi. Nafikiri akija Viktor atakuwa na usongo wa kupambana kwenye EPL na kuonyesha kuwa anaweza kumpiku Isak kama main striker wa Sweden.

Ngoja tuone lakini.
 
Back
Top Bottom