Umesema vyema mna wawakilishi na si washindani hapo sikupingi. Na robo fainali ndipo mnapoishia kama kawaida yenu.
Mm binafsi naona arteta kama ni mafanikio arsenal kashayapata asepe akatafute makombe kwengine hapo arsenal mtamzeesha tu .
Mafanikio ya arsenal toka enzi zile ni kugombania nafasi 3 za juu nikimaanisha 2,3 na 4 yaani kushiriki UEFA na ndicho anachokifanya .
Carabao tumeshinda ndio!!! Unataka tushinde nini ?? UEFA wote mimi na ww hatuna haya niambie lini arsenal kashinda carabao cup



, nina uhakika hujawahi kushuhudi arsenal kabeba carabao as arsenal fan.