Kwa mtu anayefuatilia mpira na sasa hivi mechi za klabu zimekata hawezi ona ugumu kuangalia mechi ya wanawake kama ana muda na access. All time goal scorer wa ligi ya Wanawake uingereza alikua anachezea Arsenal.Castr point yangu si nyinyi kucheza uefa ila ni uhakika kuwa mmeamua kukimbilia kwenye league ya mademu kujiliwaza ambapo mpaka huko nako mwaka huu mnatoka empty si league wla uefa women champions league
Kuna sakata la usajili likatokea lakini hata humu hakuna aliyeleta kwakua lilitokea kipindi mechi za klabu zinaendelea.