Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Castr point yangu si nyinyi kucheza uefa ila ni uhakika kuwa mmeamua kukimbilia kwenye league ya mademu kujiliwaza ambapo mpaka huko nako mwaka huu mnatoka empty si league wla uefa women champions league
Kwa mtu anayefuatilia mpira na sasa hivi mechi za klabu zimekata hawezi ona ugumu kuangalia mechi ya wanawake kama ana muda na access. All time goal scorer wa ligi ya Wanawake uingereza alikua anachezea Arsenal.

Kuna sakata la usajili likatokea lakini hata humu hakuna aliyeleta kwakua lilitokea kipindi mechi za klabu zinaendelea.
 
Toa neno UEFA hapo tafadhali kaka , kuwa na heshima na UEFA hio false hope sijui ya uefa cup winners hii hatuitambui kabisa na sisi mimi tu hata hao UEFA hawaitambui.
Ndio maana kwenye list ya uefa champion winner arsenal haipo ila wanangu wa unai emery Aston villa wapo .
Newcastle yako IPO kwenye hiyo list ya UEFA champions League winners?
 
Castr point yangu si nyinyi kucheza uefa ila ni uhakika kuwa mmeamua kukimbilia kwenye league ya mademu kujiliwaza ambapo mpaka huko nako mwaka huu mnatoka empty si league wla uefa women champions league
Halafu pia angalia timu ya wanawake ya Newcastle iko daraja la ngapi, na nafasi ya ngapi katika daraja hilo...
 
Hivi mnajua goli la Nwaneri dhidi ya man city zilipigwa pasi 36 mpaka goli likafungwa
 
Ma false hopers bana, yaani ww una hesabu pasi badala ya makombe.
Hivi unajua arsenal ina miaka 22 haijawahi kuchukua epl.
Tuuzieni Isak mkuu🤠🤠🤠....naona kijana kagoma kusaini mkataba mpya....anaona pale anapoteza mda.....kujitutumua kote na mwaka huu tena anaambulia Carling....no uefa qualifications
 
Tuuzieni Isak mkuu🤠🤠🤠....naona kijana kagoma kusaini mkataba mpya....anaona pale anapoteza mda.....kujitutumua kote na mwaka huu tena anaambulia Carling....no uefa qualifications
Uefa mbona tumo, dogo atulie pale st james abebe makombe😆, arsenal hatuwezi kuwauzia mashine kama ile hilo hapana na haliwezekani bora tuwape barca lakini sio false hopers.
Dogo atapigwa mkataba wa maana anatulia pale ni kwa matajiri haswa si nyinyi na mishahara yenu ya kina sendoros 😂😂
 
Hua naona ugumu kukujibu kitu kwakua una tabia ya kuhamisha magoli, haujui unachotetea, you tend to be all over the place with quotes ambazo hazimake sense.

Arsenal Women anamface Lyon. Lyon ni Real Madrid ya female football, but Arsenal kashamfunga Lyon 5 - 1, Arsenal ishachukua UEFA, ikichukua na hii inakua kombe la pili.

Nini kinafanya uhisi Lyon atatoka kwa Arsenal?
Unaweza ukabahatika kumfunga Lyon, ila unajua udhalilishaji unaoenda kuupata fainali? au mnajisahaulisha manaenda kukutana na nani? Nyie Arse88 mmeumbiwa kuteseka hamna namna mnaweza kupata furaha! Sio kwa wanaume sio kwa wanawake.
 
Unaweza ukabahatika kumfunga Lyon, ila unajua udhalilishaji unaoenda kuupata fainali? au mnajisahaulisha manaenda kukutana na nani? Nyie Arse88 mmeumbiwa kuteseka hamna namna mnaweza kupata furaha! Sio kwa wanaume sio kwa wanawake.
Unajua kama Arsenal Women ni English team pekee iliyochukua hilo kombe?
 
Mbona msimu huu ndio mwisho wa hicho kirecord uchwara!.
Nimecheka sana 😂
Screenshot_2025-03-29-06-12-37-379_com.instagram.android-edit.jpg
 
I like Zubimendi, namuona kama Andrea pirlo ajaye, napenda sana midfield maestro, that's what Partey misses in his game.
 
Zubimendi + Rice alafu tumpate no.10 mkali zaidi ya Ø na tumsajili Isak, hivi unaachaje kuangalia mechi ya Arsenal msela wangu!
Mkuu kuwa na heshima basi , yaan dogo anabeba makombe huku Newcastle tabasamu kibao then aje kubeba saa hapo false hopuni 😂😂.
 

Attachments

  • IMG_2662.jpeg
    IMG_2662.jpeg
    1.4 MB · Views: 10
Back
Top Bottom