Tears all overUnauhakika chelsea hakuna aliyeitwa? Hivyo vya kushabikia mchezaji aliyeitwa mnavyo nyie misukule ya arteta.
Tears all overUnauhakika chelsea hakuna aliyeitwa? Hivyo vya kushabikia mchezaji aliyeitwa mnavyo nyie misukule ya arteta.
Bonge la mechiHawana arsenal w, watawatoa roho wenzao Liverpool, linapigwa boli burudani sana hapa
Watu wa aseno' wakisikia hili neno AYDEN HEAVEN wanakaribia kufa kwa wivuKumbe jana kuna mechi zilikua zinachezwa na nyinyi mmecheza. Naingia fotmob nakuta matokeo na penati za kujaza kiroba
Unavuta bangi kali sana.Watu wa aseno' wakisikia hili neno AYDEN HEAVEN wanakaribia kufa kwa wivuView attachment 3280816
😂😂😂😂😂😂 Yaani arsenal ni team ya kufurahisha hasa , hii ni kikundi cha watu waliojikusanya kutoa vichekesho
kuna makombe hata tukichukua hayanogi, hivi carabao cup ni kombe la Arsenal kujisifia kweli? mimi binafsi FA cup na carabao hayawezi kuniamsha, kombe ambalo hata Newcastle asiyeweza kumaliza ndani ya top four EPL anachukua la nini sasa!Yaani sisi tunafurahia carabao hapo ila wao wameshikilia saa ya highbury meno yote nje
England kuna 3 domestic cup : EPL, FA na carabao cup. Team yoyote ya england lazima iwe ina hamu na makombe hayo 3, ukikosa epl basi chukua FA na ukiikosa basi chukua carabao cup.kuna makombe hata tukichukua hayanogi, hivi carabao cup ni kombe la Arsenal kujisifia kweli? mimi binafsi FA cup na carabao hayawezi kuniamsha, kombe ambalo hata Newcastle asiyeweza kumaliza ndani ya top four EPL anachukua la nini sasa!
Kama kombe dogo toka uanze kushabikia arsenal hujawahi kuona imechukua licha tu ya kuwahi kuona imeshiriki final ya carabao cup lakini bado mkatoka empty hands.Hivi liverpool nao wanaumia kufungwa fainali ya carabao? Mickey mouse cup, vikombe vidogo kwa timu ndogo, watu wanataka kumsajili Isak kwa ajili ya Epl na Uefa sio kwa ajili ya carabao.
Unavuta bangi kali sana.
Hii siyo.Na hii nayo ni bhangi?View attachment 3281392