Viongozi wetu wabishi aiseeNo ST signed.
Hesabu ni zile zile za kusubiri majeruhi warudi.
Nafurahi sana nikiona timu pinzani zikihangaika kisa Arsenal.Timu top scorer ana goli tisa halafu mnataka ubingwa acheni bangi aseee
Shida nn mkuu....asubuhi asubuhi tyri ushaanza mikwara...kunywa hata uji kwanza tumbo lipate joto ndo uanze mikwara sheheLeo mtaeleza kenge nyie mnamjua Isak
Kaka hii game imekupa shingapi mpaka sa hivi. Umekula kweli?Leo mtaeleza kenge nyie mnamjua Isak


Angekuwepo Masingeli humu angekuja na zile habari zake za Supa Kompyuta inasema leo Tunampiga Nyukesto goli 4-0 halafu msimu huu Supa Kompyuta inaonesha tunabeba Yuefa. 


Hao mijusi milia lazima watueleze leo ilikuwaje kuwaje wakatufunga zile mbili. Tutawapiga mpaka tuwahurumie.Angekuwepo Masingeli humu angekuja na zile habari zake za Supa Kompyuta inasema leo Tunampiga Nyukesto goli 4-0 halafu msimu huu Supa Kompyuta inaonesha tunabeba Yuefa.
Ngeli ni konyo sana yule mtu, toka amekimbia humu jukwaa limepoaa kama mchuzi wa nyoka uliokosa chumvi![]()
Tukitoka Dubai sheikhBeb White anarudi lini uwanjani?
Game yenyewe ya Carabao...Leo mang'ombe yote yapo macho kusubiri Arsenal ateleze
Lazima tushinde na kuendeleaLeo mang'ombe yote yapo macho kusubiri Arsenal ateleze