Kwanini Hakika Ruben anafeli na back 3 yake wakati City alisumbua nayo kwenye ligi? Arsenal ilikua compact na back 3 pia.
Ni kwa sababu ingawa formation ni back 3 ila City inacheza positional play na Arsenal ilikua ina mid nzuri kwa kipindi kile.
Positional play inasaidia kwamba mara nyingi mpira mnakua nao, na mpira unaweza kwenda sehemu ambayo mpinzani anakua hana access nayo kuilinda ingawa inaonekana. Hii ni kwakua kwenda kuilinda unajiexpose upande mwingine.
Positional play ina advantage kwenye kulinda pia kwakua mnakua mnafanya high pressing kwa pamoja.
Ila Hakika Ruben hana mid nzuri, hafanyi positional play na ana beki mbovu na kipa mbovu pia. Defense yake inakua exploited na paces za wingers na through balls za mid.
Kama Hakika Ruben akimaliza msimu huu na bado akakomaa na hii formation itampa ushindi msimu labda mmoja tu (next season) kisha msimu wa kesho kutwa anatimuliwa.
Ni kwa sababu ingawa formation ni back 3 ila City inacheza positional play na Arsenal ilikua ina mid nzuri kwa kipindi kile.
Positional play inasaidia kwamba mara nyingi mpira mnakua nao, na mpira unaweza kwenda sehemu ambayo mpinzani anakua hana access nayo kuilinda ingawa inaonekana. Hii ni kwakua kwenda kuilinda unajiexpose upande mwingine.
Positional play ina advantage kwenye kulinda pia kwakua mnakua mnafanya high pressing kwa pamoja.
Ila Hakika Ruben hana mid nzuri, hafanyi positional play na ana beki mbovu na kipa mbovu pia. Defense yake inakua exploited na paces za wingers na through balls za mid.
Kama Hakika Ruben akimaliza msimu huu na bado akakomaa na hii formation itampa ushindi msimu labda mmoja tu (next season) kisha msimu wa kesho kutwa anatimuliwa.

