Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwanini Hakika Ruben anafeli na back 3 yake wakati City alisumbua nayo kwenye ligi? Arsenal ilikua compact na back 3 pia.

Ni kwa sababu ingawa formation ni back 3 ila City inacheza positional play na Arsenal ilikua ina mid nzuri kwa kipindi kile.

Positional play inasaidia kwamba mara nyingi mpira mnakua nao, na mpira unaweza kwenda sehemu ambayo mpinzani anakua hana access nayo kuilinda ingawa inaonekana. Hii ni kwakua kwenda kuilinda unajiexpose upande mwingine.

Positional play ina advantage kwenye kulinda pia kwakua mnakua mnafanya high pressing kwa pamoja.

Ila Hakika Ruben hana mid nzuri, hafanyi positional play na ana beki mbovu na kipa mbovu pia. Defense yake inakua exploited na paces za wingers na through balls za mid.

Kama Hakika Ruben akimaliza msimu huu na bado akakomaa na hii formation itampa ushindi msimu labda mmoja tu (next season) kisha msimu wa kesho kutwa anatimuliwa.
 
Ili hesabu zikae sawa inabidi leo kenge apigwe na Westham.

Next match nyumbu anacheza na spurs. Hii game spurs atashinda.

Nafasi ya 17 itafikiwa tu
Tuko sambamba na Manyumbu kuwasagia kunguni mpaka wamalize nafasi wanayostahili, yaani ile ya 17.
 
Tumekuja mkuu🤣🤣🤣....Arteta aandikiwe barua rasmi ailazimishe bodi imuongezee Partey mikazo mkataba wa miaka 2 na option ya mwaka mmoja....yule jamaa akiondoka tutamkumbuka sana
Hata 3 sawa, ila wasifanye ujinga kumuacha. Unaonekana msimu huu ule mzimu wake wa majeraha unampitia mbali kidogo. God forbid.
 
Bado haifanyi awe mchezaji wa maana, bado kai ni kiazi tu, sijawahi tengua hii kauli, hata afunge hat-trick
Tena ni Kiazi mbatata kabisa, hata mtoto mdogo ukimwambia kua hapa Kai ameshindwa sio kufunga bali hata kulenga goli tu hawezi kuamini kabisa.
1738576078518.jpg
 
Arsenoooooo, we are the gunnerssss.
Sasa mtoe kipo do hicho hicho kwa hawa man utd, tena hao piga ata 7
Mzabzab mzee wa mbususu mambo yangekua ni rahisi kihivyo Man Utd mngempiga hizo 7 kwenye FA walivyocheza pungufu kwa zaidi ya dakika 60 baada ya Dolot kulimwa kadi nyekundu.
Matokeo yake Man Utd wakiwa pungufu waliwafurusha kwenye michuano kwa Aggregate ya goli 6-4 hapohapo kwenye dimba lenu la Emirates.
1738581187149.jpg
 
Mzabzab mzee wa mbususu mambo yangekua ni rahisi kihivyo Man Utd mngempiga hizo 7 kwenye FA walivyocheza pungufu kwa zaidi ya dakika 60 baada ya Dolot kulimwa kadi nyekundu.
Matokeo yake Man Utd wakiwa pungufu waliwafurusha kwenye michuano kwa Aggregate ya goli 6-4 hapohapo kwenye dimba lenu la Emirates. View attachment 3223526
Arsenooooo bwana. Ila man utd mie nashindwa elewa mbona siku ile mechi ya liverpool na hii ya arseno walipbana kweli kweli.
Mweee jana sasa, 🤣🤣🤣🤣 unatamani hadi kulia japo litimu nalichukia but dah...maguire kweli ndio anaonekana mchezaji kweli kweli🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom