Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kipigo kapewa City ila milio inatoka kuanzia unyumbuni hadi kwa ndugu zao ukengeni

Badala watu wafanye analysis ya Arteta's Tactical Masterclass against Pep, wao wanajadili kuhusu ushangiliaji wa wachezaji
View attachment 3226332
Gary Neville na Carragher wanaongoza hilo boti la wajinga.

Alisema ni utani mzuri Haaland kumpiga na mpira Gabriel baada ya kuscore.

Ila akasema ni ukosefu wa heshima Gabriel kushangilia mbele ya Haaland baada ya kuscore.

Wajinga ni wengi
 
Gary Neville na Carragher wanaongoza hilo boti la wajinga.

Alisema ni utani mzuri Haaland kumpiga na mpira Gabriel baada ya kuscore.

Ila akasema ni ukosefu wa heshima Gabriel kushangilia mbele ya Haaland baada ya kuscore.

Wajinga ni wengi

Neville simfuatilii kabisa. Sina muda wa kupoteza kusikiliza chochote asemacho. Carragher namcheki akiwa na Titi, Big Meeks na Kate Scott. Hiyo ndiyo punditry team yangu pendwa. Ila popote pale pengine, simsikilizi Carragher.
 
Game yenyewe ya Carabao...
Ila acha itokee tutolewe uone jinsi Flano na Labyrinth 84 watakavyo tuandama humu bila kupumzika.
Gundu Fc a.k.a Maids Fc
images.jpg
 
Neville simfuatilii kabisa. Sina muda wa kupoteza kusikiliza chochote asemacho. Carragher namcheki akiwa na Titi, Big Meeks na Kate Scott. Hiyo ndiyo punditry team yangu pendwa. Ila popote pale pengine, simsikilizi Carragher.
Hakuna ninayemfuatilia hapo, ujinga wao hua upo tu kwenye pages za mpira
 
Neville simfuatilii kabisa. Sina muda wa kupoteza kusikiliza chochote asemacho. Carragher namcheki akiwa na Titi, Big Meeks na Kate Scott. Hiyo ndiyo punditry team yangu pendwa. Ila popote pale pengine, simsikilizi Carragher.
Carra akiwa na Titi vs akiwa na Neville ni watu wawili tofauti
 
Irekodiwe kwamba wana wamekuja kupaki basi.

We need through balls, long balls na long range shooting kwenye hii drama

Screenshot_2025-02-05-22-13-54-389_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg
 
Irekodiwe kwamba wana wamekuja kupaki basi.

We need through balls, long balls na long range shooting kwenye hii drama

View attachment 3226374
Mamaee 🤣🤣🤣

Kwa Mid ya Øde mzee wa vi-skills bila kushoot hatutoboi hii mbungi 😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾

Tukutane mwakani tena wazee, kama huna moyo mgumu hii gemu bora usipoteze usingizi wako
 
ISAAAAAK, naona VAR inaenselea kuwabeba pumbaf zenu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250205_232020_FotMob.jpg
    Screenshot_20250205_232020_FotMob.jpg
    128.1 KB · Views: 13
Hii mechi tukiendelea kucheza highline tutaendelea kupasuka jamaa wanakimbia sana halafu wako clinical
 
Back
Top Bottom