Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cole Palmer alimpeleka kenge Saka kucheza beki sababu Saka kama forwad ni mzigo
Mambo ya kimbinu haya, kichwa mchunga huwezi yaelewa.Umesahau Bernado Silva alizima namba 3 dhidi ya Arsenal misimu miwili nyuma?

Mechi ya kwanza ya Ubelgiji dhidi ya Slovakia, Carrasco alizima tatu, af Trossad akaua winga ya kushoto. Hukusikia humu tukijimwambafy. Coz, majukwaa yote, humu ndo wapo wanaolielewa soka kisawasawa.

Moja katika vitu vinazungumzwa humu ndani ni "VERSATILITY" ya wachezaji wetu. Huyo Saka sio tatu tuu, hata ukimuweka 8 anazima, na fulenga tuu.

Kai amezima tatu dhidi ya Turkey na Austria na shega tuu. Usishangae siku Raya akaanza namba 6, golini akakaa Jesus
 
Mimi sitaki kuamini kwamba Xhaka huyu wa Euro, ni bora kuliko yule wa Euro 2020 ambapo Uswizi wanakufa kwenye matuta dhidi ya Spain, ROBO FAINALI

Ila, amekuwa mzuri machoni mwa watu, baada tu ya kuondoka ARSENAL

RICE, amekuwa mbaya machoni mwa mashabiki wa England na waandishi wa habari, akiwa amevaa jezi ya ARSENAL

Sio mchezaji, ni timu. It's fine that people hate us.Its part of our history
 
Nyie viaz mna kiungo mbovu kuwahi kutokea jojinyo.
Huyo kiungo mbovu, mlilipa £50m mwaka 2018 kumpata.

Kwa lugha nyepesi, mwaka 2024, a 26years old Jorginho angeicost Chelsea £100+m
 
Kwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024

20240702_194442.jpg


i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe

20240702_194440.jpg


ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.

20240702_194435.jpg


III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m

20240702_194432.jpg


iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.

£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
 
Mambo ya kimbinu haya, kichwa mchunga huwezi yaelewa.Umesahau Bernado Silva alizima namba 3 dhidi ya Arsenal misimu miwili nyuma?

Mechi ya kwanza ya Ubelgiji dhidi ya Slovakia, Carrasco alizima tatu, af Trossad akaua winga ya kushoto. Hukusikia humu tukijimwambafy. Coz, majukwaa yote, humu ndo wapo wanaolielewa soka kisawasawa.

Moja katika vitu vinazungumzwa humu ndani ni "VERSATILITY" ya wachezaji wetu. Huyo Saka sio tatu tuu, hata ukimuweka 8 anazima, na fulenga tuu.

Kai amezima tatu dhidi ya Turkey na Austria na shega tuu. Usishangae siku Raya akaanza namba 6, golini akakaa Jesus
Usishangae siku Raya akaanza namba 6, golini akakaa Jesus

😀😀😀
 
Huyo kiungo mbovu, mlilipa £50m mwaka 2018 kumpata.

Kwa lugha nyepesi, mwaka 2024, a 26years old Jorginho angeicost Chelsea £100+m
100 kwa hiyo kiazi inayopga back pass hata Namungo hapati namba, hata kwa kiasi mlichotupa tuliwapga sana nyie vilaza.

Kama EURO haijawapa elimu kwamba mna wachezaji wa ainagani basi nyie mnahitaji maombi ya kiboko y wachawi. Kama Saka kaenda ujerumani kuzurura tu uwanjani.
 
Hadi tunaingia hatua ya robo fainali michuano ya euro 2024, ni mchezaji gani wa arsenal aliyefanya vizuri kulingana na mapambio waliyokuwa wanapewa humu ndani?

Mchele wenu anamtegea Kobbie. Asipokuwepo Kobbie, Mchele anapoteana vibaya mno.
 
Hadi tunaingia hatua ya robo fainali michuano ya euro 2024, ni mchezaji gani wa arsenal aliyefanya vizuri kulingana na mapambio waliyokuwa wanapewa humu ndani?

Mchele wenu anamtegea Kobbie. Asipokuwepo Kobbie, Mchele anapoteana vibaya mno.
Unaongea kama mtu aliyefyatukwa akili
 
Mimi sitaki kuamini kwamba Xhaka huyu wa Euro, ni bora kuliko yule wa Euro 2020 ambapo Uswizi wanakufa kwenye matuta dhidi ya Spain, ROBO FAINALI

Ila, amekuwa mzuri machoni mwa watu, baada tu ya kuondoka ARSENAL

RICE, amekuwa mbaya machoni mwa mashabiki wa England na waandishi wa habari, akiwa amevaa jezi ya ARSENAL

Sio mchezaji, ni timu. It's fine that people hate us.Its part of our history
Arsenal ina nini cha maana paka watu wakicheza hapo wachukiwe?
 
Kwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024

View attachment 3031822

i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe

View attachment 3031824

ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.

View attachment 3031825

III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m

View attachment 3031828

iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.

£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
Fabrizio Romano

🚨🇮🇹 More on Riccardo Calafiori. Mikel Arteta approved Italian defender, part of 3 defender targets list.

Arsenal have also good relationship with Bologna after Tomiyasu deal; request is around €50m, still no formal bid.

🔵↪️ Chelsea would offer players as part of the deal.

20240703_181730.jpg
 
Arsenal have AGREED personal terms with Riccardo Calafiori.


[@SportsZone__]
 

Attachments

  • 20240703_183933.jpg
    20240703_183933.jpg
    237 KB · Views: 18
Fabrizio Romano

More on Riccardo Calafiori. Mikel Arteta approved Italian defender, part of 3 defender targets list.

Arsenal have also good relationship with Bologna after Tomiyasu deal; request is around €50m, still no formal bid.

Chelsea would offer players as part of the deal.

View attachment 3032704
Fabrizio Romano kashaanza kuipigia upatu Chelsea ili Bologna watuwekee ugumu kama ilivyokuwa kwa Mudryk, ngoja tuone.

Huyu dogo nishamuelewa japo sijamuona, muonekano wake km Nesta au Maldin au Canavarro, Kuna msemo unasema "Italians are born defenders"
 
Di Marzio: Riccardo Calafiori increasingly closer to joining Arsenal in a €50 million operation
 
Back
Top Bottom