Mambo ya kimbinu haya, kichwa mchunga huwezi yaelewa.Umesahau Bernado Silva alizima namba 3 dhidi ya Arsenal misimu miwili nyuma?Cole Palmer alimpeleka kenge Saka kucheza beki sababu Saka kama forwad ni mzigo
Huyo kiungo mbovu, mlilipa £50m mwaka 2018 kumpata.Nyie viaz mna kiungo mbovu kuwahi kutokea jojinyo.
Usishangae siku Raya akaanza namba 6, golini akakaa JesusMambo ya kimbinu haya, kichwa mchunga huwezi yaelewa.Umesahau Bernado Silva alizima namba 3 dhidi ya Arsenal misimu miwili nyuma?
Mechi ya kwanza ya Ubelgiji dhidi ya Slovakia, Carrasco alizima tatu, af Trossad akaua winga ya kushoto. Hukusikia humu tukijimwambafy. Coz, majukwaa yote, humu ndo wapo wanaolielewa soka kisawasawa.
Moja katika vitu vinazungumzwa humu ndani ni "VERSATILITY" ya wachezaji wetu. Huyo Saka sio tatu tuu, hata ukimuweka 8 anazima, na fulenga tuu.
Kai amezima tatu dhidi ya Turkey na Austria na shega tuu. Usishangae siku Raya akaanza namba 6, golini akakaa Jesus
100 kwa hiyo kiazi inayopga back pass hata Namungo hapati namba, hata kwa kiasi mlichotupa tuliwapga sana nyie vilaza.Huyo kiungo mbovu, mlilipa £50m mwaka 2018 kumpata.
Kwa lugha nyepesi, mwaka 2024, a 26years old Jorginho angeicost Chelsea £100+m
Unaongea kama mtu aliyefyatukwa akiliHadi tunaingia hatua ya robo fainali michuano ya euro 2024, ni mchezaji gani wa arsenal aliyefanya vizuri kulingana na mapambio waliyokuwa wanapewa humu ndani?
Mchele wenu anamtegea Kobbie. Asipokuwepo Kobbie, Mchele anapoteana vibaya mno.
Arsenal ina nini cha maana paka watu wakicheza hapo wachukiwe?Mimi sitaki kuamini kwamba Xhaka huyu wa Euro, ni bora kuliko yule wa Euro 2020 ambapo Uswizi wanakufa kwenye matuta dhidi ya Spain, ROBO FAINALI
Ila, amekuwa mzuri machoni mwa watu, baada tu ya kuondoka ARSENAL
RICE, amekuwa mbaya machoni mwa mashabiki wa England na waandishi wa habari, akiwa amevaa jezi ya ARSENAL
Sio mchezaji, ni timu. It's fine that people hate us.Its part of our history
Fabrizio RomanoKwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024
View attachment 3031822
i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe
View attachment 3031824
ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.
View attachment 3031825
III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m
View attachment 3031828
iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.
£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
Hawa watu unawaonaga zimetimia?Arsenal ina nini cha maana paka watu wakicheza hapo wachukiwe?
Amewaambia Club yake asiposajiliwa na Arsenal anajinyonga, amesema anaipenda Arsenal kuliko anavyoipenda familia yake.Arsenal have AGREED personal terms with Riccardo Calafiori.
[@SportsZone__]
Fabrizio Romano kashaanza kuipigia upatu Chelsea ili Bologna watuwekee ugumu kama ilivyokuwa kwa Mudryk, ngoja tuone.Fabrizio Romano
More on Riccardo Calafiori. Mikel Arteta approved Italian defender, part of 3 defender targets list.
Arsenal have also good relationship with Bologna after Tomiyasu deal; request is around €50m, still no formal bid.
Chelsea would offer players as part of the deal.
View attachment 3032704
kuna comment zipo huku hadi naona aibu kuishabikia hii timu japo kuhama haiwezekani.Hawa watu unawaonaga zimetimia?
Mkuu nenda ka google....usiwe kama kijana wa O level unakuja kuongea mambo huna dataKabeba kombe gani ?
Tajiri miluzi kibegi chake Kiko wapi...yule mda wwte anakinukishaDi Marzio: Riccardo Calafiori increasingly closer to joining Arsenal in a €50 million operation