Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Leicester hawakuwahi kuchukua ubingwa before lakini ilipofika muda wakaona ubingwa huu hapa mbio zake zilikua za maana sana.
Jinsi unavyozidi kushinda ndo mentality inakuwa kubwa na si vingine , hii mentality kwa miaka mingap mnaitafuta ? Toka enzi za wenger kuna msimu ule ramsey on fire ikafika x mas holla , msimu na leicester arsenal kashinda with one game in hand na swansea mkaongoza half time kipindi kilichofuata mkatiwa mbili game ikaisha ubingwa mkakosa rasmi , game na leicester welbeck alipiga kichwa last second nikavua mpaka shati [emoji28] nikaona ubingwa si ndo huu.

Game na Bournemouth ivyo ivyo nikavua shati nikaona ubingwa si ndo huu goli alilolipiga nelson .

Kilichofuata nikavua jezi ya arsenal nikasema false hopes basiiiii!!!!!!!! For 20 years it’s enough.

HAKUNA CHA MENTALITY NYINYI NI FUNGU LA KUKOSA[emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie Kima mnalala mpaka muda huu kwa raha gani hasa mliyo nayo?
Amkeni muoshe vyombo mbuzi nyie.
 
Kuna idea ipo kwa mashabiki mtaani na humu pia, ikiongozwa na hamis77 kwamba Arteta is IRREPLACEABLE.
Baada ya game la Jana, kama kawaida mabishani yakaanza kwa mashabiki.

Kundi linasema Arteta aliwe kichwa, kundi linasema abaki.

Hawa wanaosema abaki, wanadai sokoni hakuna kocha mwenye uwezo kumzidi Arteta. Wanadai Arsenal ikimwacha tuu Arteta, basi moja kwa moja Real Madrid. Wakaongeza issue ya majeruhi

Wanaosema aliwe kichwa, wakijaribu kuelezea muda alokuwepo klabuni, five years na kufeli kwake kuleta makombe ya maana klabuni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…