Sijui amekosaje paleHarvetz hovyooo
Hamuwezi kukosa magoli ya wazi hivi halafu mtegemee mshinde.Sijui amekosaje pale
Unajua nini...naliona kabisa hilo likitokeaHamuwezi kukosa magoli ya wazi hivi halafu mtegemee mshinde.
Pamoja na upungufu na mapungufu yetu hii game tunawagonga sio kwa sababu ya ubora wetu bali ni kutokana na gundu lenu.
Amepoteza confidenceOdegaard ambaye ni mguu wa kushoto anaacha kushuti akiwa sehemu ya kuweza kushuti anampasia mwenzake ambaye ni mguu wa kulia