Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Hiki kikundi cha wahuni hakiwezi maliza juu ya man city
@fuentteLower your expectations and you will thank me later.
Wamepoteza moja au mbiliChelsea kapoteza point 1
Arsenal mnapoteza point 1
Liverpool mbele kwa mbele...
Hiki kikundi cha wahuni hakiwezi maliza juu ya man city


Tukiwaambia Arteta uwezo wake unaishia kwenye Top4 tu, hana akili wala uwezo wa kuchukua Epl watu wanakua wakali humu.
Hii comment iwekwe kwenye title ya huu uziLower your expectations and you will thank me later.
Tukiwaambia Arteta uwezo wake unaishia kwenye Top4 tu, hana akili wala uwezo wa kuchukua Epl watu wanakua wakali humu.
Tetea ni mid table coach, mentality yake ni ya kufundisha mid table team ambazo malengo yao ni kuwepo kwenye top10 kwenye msimamo wa ligi.
kumtegemea Tetea abebe Epl au Uefa ni sawa na kutegemea bikra kutoka kwa single mother.

.Nimeiweka kwenye fremu bhana. Hii timu pasua kichwa. Tumebaki kulalamika why Gordon na Kulu incident haikuwa penalty.Hii comment iwekwe kwenye title ya huu uzi
Arteta ameona a-overload midfield. Nimeipenda hii




aaah unajua nacheka kwanini. Hii ni maajabu yaani ubingwa wenu ni misemo tu inverted midflider mara overload
Is all about mentalityNimeiweka kwenye fremu bhana. Hii timu pasua kichwa. Tumebaki kulalamika why Gordon na Kulu incident haikuwa penalty.
Kati ya Liverpool na city, kiukweli tuombee city azidi kupoteana. Liverpool tutajua wapi kwa kumdaka
By February 20 hivi Liverpool atatupisha pale juu
At that time saka atakua amerudi so tusiwe na majerui ya key players tu
Au sio mkuuNo Saka no Problem. Nwaneri ni full Saka. Mikimbio na dribling ni zilezile za Saka...