Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We don't deserve to be champion... No hungry on this team. Kuna muda unaona mchezaji ana nafasi ya kupeleka mpira mbele lakini anafanya turn over mpaka unajiuliza anafikiria nini.
 
Lower your expectations and you will thank me later.
@fuentte

IMG-20250104-WA0019.jpg


Tuishi humu wanagunners
 
Hiki kikundi cha wahuni hakiwezi maliza juu ya man city
Tukiwaambia Arteta uwezo wake unaishia kwenye Top4 tu, hana akili wala uwezo wa kuchukua Epl watu wanakua wakali humu.
Tetea ni mid table coach, mentality yake ni ya kufundisha mid table team ambazo malengo yao makubwa ni kuwepo tu ndani ya top10 kwenye msimamo wa ligi.
kumtegemea Tetea abebe Epl au Uefa ni sawa na kutegemea bikra kutoka kwa single mother.
 
Tukiwaambia Arteta uwezo wake unaishia kwenye Top4 tu, hana akili wala uwezo wa kuchukua Epl watu wanakua wakali humu.
Tetea ni mid table coach, mentality yake ni ya kufundisha mid table team ambazo malengo yao ni kuwepo kwenye top10 kwenye msimamo wa ligi.
kumtegemea Tetea abebe Epl au Uefa ni sawa na kutegemea bikra kutoka kwa single mother.

Nakumbuka kuna kipindi walisema pep akisepa wata dominate epl for 10 years .

Uzuri wa mpira si mambo ya kusadikika , unawaambia false hopers ubingwa hauchukuliwi kwa set pieces goals ila wanakaza mishipa ya shingo.

Zero open chance kwenye game 5 mfululizo plus ushindi wa papatu then ujite title contenders
 
Kati ya Liverpool na city, kiukweli tuombee city azidi kupoteana. Liverpool tutajua wapi kwa kumdaka
By February 20 hivi Liverpool atatupisha pale juu

At that time saka atakua amerudi so tusiwe na majerui ya key players tu

Mtu kama huyu tunamsaidia vipi?? Na huyu si atakacha si mda mrefu ndugu zangu
 
Back
Top Bottom