Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama ilivyotarajiwa. Partey karudi RB. DM kawa Jorginho, kwa kujua kwamba jamaa ni slow imebidi Rice aanzishwe. Hii yote ni kuhakikisha blunder ikifanywa na Nwaneri defense coverage ipo.

Screenshot_2025-01-04-19-39-02-722_com.instagram.android-edit.jpg
 
Chelsea kasuluhu.

Lakini hakuna atakayeshangaa.

Nikisema standards naambiwa naongopa.
 
Ingawaje Odergard mechi za hivi karibuni anazingua lakini hatuna mchezaji mwenye maamuzi ya haraka na akili kumzidi akifika kwenye final third. Timu inamuhitaji kabisa
 
Back
Top Bottom