Arsenal ipi hii ya sasa?? mmh!!! ila sishangai maana false hopers suala la kuamini kwenu ni suala mtambuka

.
The last time nilikua false hoper ile ndo ilikua arsenal mazee ivi kombe mlikosa vipi nyinyi daah!
Yaani arsenal ilikua inatisha mpaka Christmas watu wote wakakubali acha false hope ichukue kombe maana mpira ulikua unapigwa hatari yule zinchenko kama sijui inverted nini vile

, jesus yupo moto.
Gemu na Bournemouth , man utd uwanja ulikua umeinama mpira unapigwa haswa mwanangu bukayo ananitesea luke shaw .
Mwisho wa siku ikawa false hope nikaona hapana inatosha hizi false hope for 20 years zimezidi.
Arsenal ya sasa mmepoa sana kuanzia wachezaji mpaka mashabiki




yaani mpaka hamis kakacha unafanya mchezo.
Castr ukimwambia Arsenal bingwa lazima akukatae saivi, zincheko mmepeleka wapi na lile ball lenu la inverted midfielder mzee .
Leo nimeangalia mpira wenu naona mnarukaruka tu