Mlipomfunga Goli 6 mbona hukusema haya maneno yako,Mnaanza kutafuta FREE PASS mapema hivi.Huyu kocha wa Westham asipofukuzwa kesho basi ushirikina upo hadi Ulaya
Same mistakes
Umeingia leo tu humu.Mlipomfunga Goli 6 mbona hukusema haya maneno yako,Mnaanza kutafuta FREE PASS mapema hivi.
Kama Spurs alikula 6 West ham akila 5 kuna shida Mkuu......Relax, League ndio kwanza inaanza.
Brentford ni timu inacheza vizuri. Tukiweza kutoboa hio game, basi tutakua tumeimarika.Liverpool haionekani kuangusha point anytime soon. Na ukizingatia gape la point tisa ndio unachoka kabisa. Tunapambana na timu inayofahamu namna ya kucheza ligi na yenye uzoefu wa kutosha kwenye kuutafuta ubingwa. Arsenal bado tunakosa hivi vitu ni kama hata tukikaa juu hatujiamini na tunajipa pressure zaidi kuliko tunavyowapa pressure wapinzani. Ligi bado lakini kazi ipo ya kufanya.
Gap siyo points 9, hesabu points 12. Kiporo chao na Everton unadhani watafungwa?Liverpool haionekani kuangusha point anytime soon. Na ukizingatia gape la point tisa ndio unachoka kabisa. Tunapambana na timu inayofahamu namna ya kucheza ligi na yenye uzoefu wa kutosha kwenye kuutafuta ubingwa. Arsenal bado tunakosa hivi vitu ni kama hata tukikaa juu hatujiamini na tunajipa pressure zaidi kuliko tunavyowapa pressure wapinzani. Ligi bado lakini kazi ipo ya kufanya.
Gape ni points 9, hadi 20 February tutakua juu ya LiverpoolGap siyo points 9, hesabu points 12. Kiporo chao na Everton unadhani watafungwa?
Kati ya Liverpool na city, kiukweli tuombee city azidi kupoteana. Liverpool tutajua wapi kwa kumdakaLiverpool haionekani kuangusha point anytime soon. Na ukizingatia gape la point tisa ndio unachoka kabisa. Tunapambana na timu inayofahamu namna ya kucheza ligi na yenye uzoefu wa kutosha kwenye kuutafuta ubingwa. Arsenal bado tunakosa hivi vitu ni kama hata tukikaa juu hatujiamini na tunajipa pressure zaidi kuliko tunavyowapa pressure wapinzani. Ligi bado lakini kazi ipo ya kufanya.
Ni bora na Arteta afukuzweHuyu kocha wa Westham asipofukuzwa kesho basi ushirikina upo hadi Ulaya
Same mistakes
Arsenali mnachekesha sana.Gape ni points 9, hadi 20 February tutakua juu ya Liverpool
View attachment 3188150
Nielewe Mkorea.Gape ni points 9, hadi 20 February tutakua juu ya Liverpool
View attachment 3188150
Hapana mkuu, tunahesabu mechi zilizochezwa, kiporo hakina maana yoyote, maana amekifidia kwa kucheza na timu nyingine.Nielewe Mkorea.
Liverpool ana game na Everton iliahirishwa. Wana mchezo mkononi sisi match 19 tunaikamilisha J5 against Brentford.
So mara zote liva atakua game moja nyuma mpaka acheze na Everton
Huyo kashatuacha.Liverpool gari limewaka, naijua Arsenal kwa 18+ years now, Arsenal ku handle pressure hatuwezi game muhimu za kutusogeza ndio hua tunazingua!
Angalia unnecessary draw tulizopata na red card za kidwanziii.
Sioni wa kumzuia liver Gap litazidi ongezeka (ukiangalia january fixture yetu na liver utanielewa)
Haya sawaHapana mkuu, tunahesabu mechi zilizochezwa, kiporo hakina maana yoyote, maana amekifidia kwa kucheza na timu nyingine.
Msimu ulioisha mpaka mwishoni mwa mwezi march mlikua mnaongoza ligi kwa points 8 na zilikua zimebaki mechi 8 tu kumaliza ligi, lakini City aliwaovertake akachukua ubingwa, hizi ndio kila siku hua tunasema Asnali bado haijawa matured, ni ka midtable team flani hivi, lakini mashabiki wake hua wanajitutumua na kutaka kuwaamisha watu kua timu yao ni among the giant team in the world.Liverpool haionekani kuangusha point anytime soon. Na ukizingatia gape la point tisa ndio unachoka kabisa. Tunapambana na timu inayofahamu namna ya kucheza ligi na yenye uzoefu wa kutosha kwenye kuutafuta ubingwa. Arsenal bado tunakosa hivi vitu ni kama hata tukikaa juu hatujiamini na tunajipa pressure zaidi kuliko tunavyowapa pressure wapinzani. Ligi bado lakini kazi ipo ya kufanya.
Kati ya Liverpool na city, kiukweli tuombee city azidi kupoteana. Liverpool tutajua wapi kwa kumdaka
By February 20 hivi Liverpool atatupisha pale juu
At that time saka atakua amerudi so tusiwe na majerui ya key players tu


Yaani mkorea nilikua naamini Masingeli kulikimbia hili jukwaa huenda kidogo akili zako zitaanza kurudi na kuachana na false hope za kijinga, kumbe Masingeli alitia kufuli halafu akaondoka na funguo zake.