Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,240
- 76,776
Umeingia leo tu humu.Mlipomfunga Goli 6 mbona hukusema haya maneno yako,Mnaanza kutafuta FREE PASS mapema hivi.
Kama Spurs alikula 6 West ham akila 5 kuna shida Mkuu......Relax, League ndio kwanza inaanza.
Nishaandika sana. So tulia, tuongee maisha mengine