Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Enzo Maresca na Arne slot mazingira waliyoyakuta ni kwamba timu zilikuwa zimeshaundwa, Klopp aliiunda liverpool kabla ya kuondoka lkn pia liverpool walifanikiwa kuwabakisha wachezaji ambao ni all timer km Van dijk, Salah, Trent na beka, kwa upande wa The blues Boehly aliuunda chelsea kwa pesa nyingi, unaijua bei ya Mudyk, enzo fernandes au caicedo? hivyo ni sahihi kwa makocha hao kuonesha wanachokionesha regarding to their skillset.Nani ashangae wakati kila mmoja anajua chelsea ndo kwanza anajitafuta. Kuna kipindi chelsea akidraw watu tulikua tunashangaa lakini sio sasa.
Enzo ndo kwanza hana hata miezi 5 ndani ya chelsea lakini yupo fresh , bado anaitafuta top 4 , arteta huu msimu wake wangap pale arsenal?
Labda nikukumbushe tu arteta ni msimu wa 6 huu with zero major trophies .
Arsenal kwenye best form yenu hamna kombe lolote lakujivunia , chelsea kwenye best form anajivunia uefa 2 epl kibao na europa kibao .
Arsenal ana standard gani mzeeeaah unajua nyinyi hili jukwaa mmelichukulia uwanja wa comedy nini?? Isije kuwa sisi kina flano na wengine tupo serious kumbe nyinyi wenzetu mmechukulia hapa ndo platform ya comedy nembu tuambiane mapema kabisa .
kitu kingine liverpool imekuwa na bahati msimu huu, Man city ameregress sababu ya majeruhi na Arsenal pia tunakumbwa na majeruhi na maamuzi mabovu ya marefarii, so ni km liverpool hana mpinzani, in the middle of rebuild tumekuwa kwenye upinzani na the peak City/ Pep ambayo Bayern & Madrid wanapigwa km watoto, sio rahisi kushindana na Guardiola akiwa kwenye ubora wake, watu wa liverpool wanajua, ila kwa shabiki wa Newcastle huwezi kuelewa.

