mdachi khan
Member
- Nov 14, 2016
- 22
- 31
Aanze kushinda j2 kwanza afu utakuja tuongeeMnatumia muda wenu ku-criticise mapema hivi!
Bado mechi 19 umeshajipangia wewe unamaliza nafasi ya 2 na Man U ya 14.
Nakukumbusha tu mechi 19 zilizobaki zina jumla ya point 57 United akishinda zote anakuwa na point 79!