Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bottlers ni wale walio katika nafasi nzuri ya kupambania ubingwa na kila mtu akaamini kua lazima watabeba kombe lakini ikifika mwisho wa msimu wanajikuta wamekalia chupa na kutoka mikono mitupu.

Bottlers kwa lugha ya kawaida hua wanaitwa loser.
Bottlers inaweza kua hata kati ya mechi na mechi mfano mpaka dakika ya 80 Arsenyo inaongoza kwa 3-0 kila mtu anakua na imani kua tayari Arsenyo ameshajichukulia points zake 3, halafu kufika dakika 90 wahuni wanapindua meza na kuwagonga Arsenyo 4-3 hatimae Arsenyo anakua amepoteza points3 hapo kwa lugha ya kimichezo Arsenyo ataitwa Bottlers.

asante sana kwa hili
 
Jack Grealish alinunuliwa kwa 100M mwaka 2024 umeisha hajafunga hata goli moja. Kwanini hamna anayeongelea hili?

Man city is not relevant. Same na Antony na united.

Why have these two guys failed? I mean they are skilled miguuni na wana pace so what's the issue?

Mmoja ni timu aliyotokea mwingine ni ligi aliyotokea.

Against Villa ni timu chache zitaamua kupaki basi. Against zingine zote Villa itakua inafanya mid block na kusubiri wapinzani waingie upande wao kisha long ball moja au through ball, pace ya kutosha then Grealish anajikuta yupo 1 v 1 na kipa.

So it was easier akiwa Villa, akiwa city 1 v 1 anaipata dhidi ya mabeki 4 awaache ndiyo aipate 1 v 1 na kipa. Nakumbuka Arsenal tuliwahi kuhusishwa naye, the closest nilichoona ni siku shabiki alipomuuliza kama atakuja Arsenal, akatabasamu tu.

Arsenal wapinzani wake wengi wanafanya low block, Rashford anatoka timu ambayo hua haifanyiwi low block. Mambo ya Grealish hayawezi jirudia? Mtoe Martinelli muweke Rashford kisha wazia kwa mfano mechi ya jana ni kipi Rashford angeweza kufanya kikawa na faida?
 
Partey ni mtu na nusu, ananikumbusha enzi zangu nikicheza namba 6.
ahahahah! Bro najua Partey ije mvua lije jua huwezi kumkataa, mimi nilimkataa sio kwamba hajui mpira ila ni makosa madogo madogo yaliyomnyima point kama Holding mid, leo Rodri ana ballon d'or ingawa partey is more talented than Rodri, sisi wachumi tunajaribu ku economize kwenye kila kitu even football , always we look for the optimal output, tunataka uoneshe ubora ule mungu aliokupa consistently, na hii ndio case ilofanya kuumia nikiona TP ana underperform, not otherwise.
 
Jumamosi tuna mechi na Brighton ambayo tunaenda huku Timber akiwa hayupo kwenye selection kutokana na kadi za njano alizopata.

Nwaneri amecheza vizuri RW kuliko Martinelli, lakini Nwaneri ameonyesha kwamba siyo mzuri kutrack back. Partey na Timber wamefanya cover up ya defence vizuri kiasi kwamba hakuna gap tumeona.

Kwakua next match Timber hayupo Arteta anaweza kumuweka tena Partey kama RB. Means defense coverage ya Nwaneri inapungua, itakua ideal kumchezesha tena Nwaneri RW kama Partey atarudi RB?

Arisk kumuamini Calafiori kama RB na Myles awe LB ili asidisturb defense coverage anayoipata kutoka kwa Partey?

Tucheze back 3?
.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri


. .Rice. . Partey. . Odegar.

.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori


. . . ....Raya...


Sub: ziny, merino, trosad, joginho
 
.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri


. .Rice. . Partey. . Odegar.

.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori


. . . ....Raya...


Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Kiwior hawezi mbavu ya kulia ili Calafiori abaki kushoto?
 
.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri


. .Rice. . Partey. . Odegar.

.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori


. . . ....Raya...


Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Tierney kashacheza kulia. Kwanini isijirudie?
 
ahahahah! Bro najua Partey ije mvua lije jua huwezi kumkataa, mimi nilimkataa sio kwamba hajui mpira ila ni makosa madogo madogo yaliyomnyima point kama Holding mid, leo Rodri ana ballon d'or ingawa partey is more talented than Rodri, sisi wachumi tunajaribu ku economize kwenye kila kitu even football , always we look for the optimal output, tunataka uoneshe ubora ule mungu aliokupa consistently, na hii ndio case ilofanya kuumia nikiona TP ana underperform, not otherwise.
Hahaa.. Hakuna tabu, tuko pamoja, tunaendelea na gurudumu la the gunners.
 
Tunahusishwa naye hii January


20250102_225421.jpg
 
Back
Top Bottom