Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,740
- 9,040
Nimeona BBC et mnataka mmusajili rashford
Bottlers ni wale walio katika nafasi nzuri ya kupambania ubingwa na kila mtu akaamini kua lazima watabeba kombe lakini ikifika mwisho wa msimu wanajikuta wamekalia chupa na kutoka mikono mitupu.
Bottlers kwa lugha ya kawaida hua wanaitwa loser.
Bottlers inaweza kua hata kati ya mechi na mechi mfano mpaka dakika ya 80 Arsenyo inaongoza kwa 3-0 kila mtu anakua na imani kua tayari Arsenyo ameshajichukulia points zake 3, halafu kufika dakika 90 wahuni wanapindua meza na kuwagonga Arsenyo 4-3 hatimae Arsenyo anakua amepoteza points3 hapo kwa lugha ya kimichezo Arsenyo ataitwa Bottlers.
Aanze kushinda j2 kwanza afu utakuja tuongeeMnatumia muda wenu ku-criticise mapema hivi!
Bado mechi 19 umeshajipangia wewe unamaliza nafasi ya 2 na Man U ya 14.
Nakukumbusha tu mechi 19 zilizobaki zina jumla ya point 57 United akishinda zote anakuwa na point 79!
That's for sureTumeanza slow msimu huu kutokana na majeruhi ambayo mpaka leo bado yanatuendesha.
Kama January hii tutasajili inawezekana tukaanzisha title race nzuri na ya uhakika
ahahahah! Bro najua Partey ije mvua lije jua huwezi kumkataa, mimi nilimkataa sio kwamba hajui mpira ila ni makosa madogo madogo yaliyomnyima point kama Holding mid, leo Rodri ana ballon d'or ingawa partey is more talented than Rodri, sisi wachumi tunajaribu ku economize kwenye kila kitu even football , always we look for the optimal output, tunataka uoneshe ubora ule mungu aliokupa consistently, na hii ndio case ilofanya kuumia nikiona TP ana underperform, not otherwise.Partey ni mtu na nusu, ananikumbusha enzi zangu nikicheza namba 6.
.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ NwaneriJumamosi tuna mechi na Brighton ambayo tunaenda huku Timber akiwa hayupo kwenye selection kutokana na kadi za njano alizopata.
Nwaneri amecheza vizuri RW kuliko Martinelli, lakini Nwaneri ameonyesha kwamba siyo mzuri kutrack back. Partey na Timber wamefanya cover up ya defence vizuri kiasi kwamba hakuna gap tumeona.
Kwakua next match Timber hayupo Arteta anaweza kumuweka tena Partey kama RB. Means defense coverage ya Nwaneri inapungua, itakua ideal kumchezesha tena Nwaneri RW kama Partey atarudi RB?
Arisk kumuamini Calafiori kama RB na Myles awe LB ili asidisturb defense coverage anayoipata kutoka kwa Partey?
Tucheze back 3?
Kiwior hawezi mbavu ya kulia ili Calafiori abaki kushoto?.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri
. .Rice. . Partey. . Odegar.
.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori
. . . ....Raya...
Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Calafiori ni risk taker na hapo umemuweka kushoto, imagine akiwa kulia.Kiwior hawezi mbavu ya kulia ili Calafiori abaki kushoto?
Tierney kashacheza kulia. Kwanini isijirudie?.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri
. .Rice. . Partey. . Odegar.
.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori
. . . ....Raya...
Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Hahaa.. Hakuna tabu, tuko pamoja, tunaendelea na gurudumu la the gunners.ahahahah! Bro najua Partey ije mvua lije jua huwezi kumkataa, mimi nilimkataa sio kwamba hajui mpira ila ni makosa madogo madogo yaliyomnyima point kama Holding mid, leo Rodri ana ballon d'or ingawa partey is more talented than Rodri, sisi wachumi tunajaribu ku economize kwenye kila kitu even football , always we look for the optimal output, tunataka uoneshe ubora ule mungu aliokupa consistently, na hii ndio case ilofanya kuumia nikiona TP ana underperform, not otherwise.
Calafiori anaweza cheza kulia?.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri
. .Rice. . Partey. . Odegar.
.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori
. . . ....Raya...
Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Kwior ni mzuri lakini tujiandae kuingia tukihesabu moja bila tayari tuanze kusawazisha na kutafuta ushindi, lazima achome ashalemaaCalafiori ni risk taker na hapo umemuweka kushoto, imagine akiwa kulia.
Kiwior ana cross nzuri sana jamaa. Ni fair akiwa LB kabisa
Huyu atafute timu tu january hiiTierney kashacheza kulia. Kwanini isijirudie?
Wachezaji wengi anaopenda arteta ni wale vilaka, nilisikia anabonda fullbacks zote kwa ubora ule uleCalafiori anaweza cheza kulia?
Abonde kulia na huo mguu wake wa kulia ni wa kupandia kitandani mkuuWachezaji wengi anaopenda arteta ni wale vilaka, nilisikia anabonda fullbacks zote kwa ubora ule ule
Who is this?
Yuko vizuri tu na mguu wake wa kulia. Ni moja ya sababu tulimleta. Ila sidhani kama anaweza RB.Abonde kulia na huo mguu wake wa kulia ni wa kupandia kitandani mkuu
labda sijamfatilia kwa umakini ila sijawai kuona anautumiaYuko vizuri tu na mguu wake wa kulia. Ni moja ya sababu tulimleta. Ila sidhani kama anaweza RB.