Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Endelea kujilisha upepo peke yako, ila kwa upande wetu Man Utd futa kabisa hizo false hope zako kua tutamfunga Liverpool.
Mimi napenda kuwahakikishia ndugu zangu wa Liverpool kua points zao 3 dhidi yetu ziko palepale wala wasiwe na hofu yoyote, na kikubwa zaidi hiyo jumapili ijayo tutafanya kila lililo ndani ya uwezo wetu Liverpool wapate magoli mengi ili kuwe na gape kubwa la GD kati yao na nyinyi.
😂😂😂😂😂👏
 
Sterling Saka, Tomiyasu & White ni majeruhi. RW alikabidhiwa Martinelli mechi iliyopita lakini hakua na impact kubwa. Goli tulilipata upande wa LW na assist ikiwa ya Trossard.

TImber na Martinelli walioffer mchango defensively kuliko kwenye kushambulia.
Akigewa namba leo yanaweza yakajirudia yaleyale.

Leo tuna chance ya kua wa pili, but historically we are not good under pressure na hua siyo wazuri kupress advantage. Kuna kipindi hii ilibadilika hope na leo tutaonyesha quality
 
Screenshot_2025-01-01-13-28-48-722_com.instagram.android-edit.jpg
 
Rashford na Garnacho wanaweza kupatikana January au kiangazi. Dani Olmo na Pau Victor same scenario.

Kuna mashabiki wa Arsenal wanasema ikiwa Rashford atakubali mshahara upungue au united ilipe atakua rotational player mzuri hapa Emirates.

Mechi dhidi ya Newcastle au Brighton ilimuonyesha mchezaji mvivu mpaka ikatengenezwa meme. Rashford alikua anajog in circles with no desire kuengage kuchukua mpira. Garnacho kwenye mechi iliyopita waliyopigwa tatu alinyang'anywa mpira badala ya kunyanyuka aengage akawa anaweka vizuri soksi.

Wapinzani wakaongeza goli.

Kuna wakati namuelewa Arteta kwanini anampa namba Martinelli bila kujiuliza. Martinelli atapokonywa mpira ila utamuona anaukimbilia, na hachoki kujaribu.

Pamoja na yote sitashangaa Rashford akija. Why? For years tumekua kama dampo la wachezaji wa timu nyingine, recent example ni Sterling. Ila tushakua na Welbeck, Mkhtaryan, Cech, Luiz, Galas, Willian, Havertz kuna wengine walikua decent na wengine walikua hovyo.

Kama Rashford akija physical demanding ya Arsenal ataiweza?
 
Rashford na Garnacho wanaweza kupatikana January au kiangazi. Dani Olmo na Pau Victor same scenario.

Kuna mashabiki wa Arsenal wanasema ikiwa Rashford atakubali mshahara upungue au united ilipe atakua rotational player mzuri hapa Emirates.

Mechi dhidi ya Newcastle au Brighton ilimuonyesha mchezaji mvivu mpaka ikatengenezwa meme. Rashford alikua anajog in circles with no desire kuengage kuchukua mpira. Garnacho kwenye mechi iliyopita waliyopigwa tatu alinyang'anywa mpira badala ya kunyanyuka aengage akawa anaweka vizuri soksi.

Wapinzani wakaongeza goli.

Kuna wakati namuelewa Arteta kwanini anampa namba Martinelli bila kujiuliza. Martinelli atapokonywa mpira ila utamuona anaukimbilia, na hachoki kujaribu.

Pamoja na yote sitashangaa Rashford akija. Why? For years tumekua kama dampo la wachezaji wa timu nyingine, recent example ni Sterling. Ila tushakua na Welbeck, Mkhtaryan, Cech, Luiz, Galas, Willian, Havertz kuna wengine walikua decent na wengine walikua hovyo.

Kama Rashford akija physical demanding ya Arsenal ataiweza?
Hivi Steringi toka amekuja mchango wake binafsi sijauona yaani ule Moto wake sijauona au bado hajajaa kwenye mfumo?
 
Hivi Steringi toka amekuja mchango wake binafsi sijauona yaani ule Moto wake sijauona au bado hajajaa kwenye mfumo?
Nafikiri tumempata akiwa kashavuka kipindi chake cha ubora.

Sterling anaweza kuhama na kijiji huku analifuata box. Siyo scorer ila anaweza kuset up assist ila tangu aende chelsea na sasa Arsenal hafanyi hivyo
 
Nafikiri tumempata akiwa kashavuka kipindi chake cha ubora.

Sterling anaweza kuhama na kijiji huku analifuata box. Siyo scorer ila anaweza kuset up assist ila tangu aende chelsea na sasa Arsenal hafanyi hivyo
Labda pengine Chelsea alikutana mfumo tofauti au tuseme huo uwezo wake umeisha? mbona joginho tumemtoa hapo ze bluzi msaada wake umeonekana, sasa huyo Rashid kwamba makali yake yanaweza kurudi?
 
Labda pengine Chelsea alikutana mfumo tofauti au tuseme huo uwezo wake umeisha? mbona joginho tumemtoa hapo ze bluzi msaada wake umeonekana, sasa huyo Rashid kwamba makali yake yanaweza kurudi?
Msimu uliopita tulizidiwa points 2 na City ambazo tungeweza kuzipata na kuchukua kombe kwa kumfunga Spurs badala yake tukasuluhu.

Suluhu ilikuja kwa Jorginho kugewa pasi akawa amekaa na mpira ambao ulimgonga gonga Son akauchukua akaenda kusawazisha.

Hili tukio sijui kwanini wengi hulisahau. So kwangu mimi bado naona Jorginho naye tuna shida kwake
 
timu nyingi EPL zikicheza na arsenal huwa zina kaa nyuma ya mpira na kuziba nafasi kabisa.. hazifunguki kirahisi na hasa ni kwa kuwa arsenal haina wachezaji wengi wa uhakika wa kuweza kufanya take-ons ,timu inategemea zaidi passes kitu ambacho ni ngumu kwa mpira huu wa kisasa kuifungua defence.
 
City kateleza huku Arsenal tuko hovyo pia.
Arsenal hatuko hovyo bro, ni upepo tu, injuries n officiating, ni vitu vidogo sn kwenye mpira vinavyoweza kukufanya uonekane mbovu, wanaita Variance, sometimes we need to look at stats, Arsenal inaongoza ligi kwa mwaka huu, this calendar year, so we good.
 
Back
Top Bottom