Ile feeling kwamba 80K inakupa 1M in seconds lazima uzamishe mshahara hukoKamari ukiwa jobless lazima kuna muda ikubebe tu. Nashangaa kuna watu wana mishahara na bado ni punters.
Ile feeling kwamba 80K inakupa 1M in seconds lazima uzamishe mshahara hukoKamari ukiwa jobless lazima kuna muda ikubebe tu. Nashangaa kuna watu wana mishahara na bado ni punters.
Mtaji mkubwa wa haya makampuni ya kugamble ni tamaa za wachezaji.Ile feeling kwamba 80K inakupa 1M in seconds lazima uzamishe mshahara huko
Asipoangalia anaweza asiingie big 4
Hivi kuna kitu umegundua?
Angalia hizi team na falsafa zao za kiuchezaji na fomu Yao msimu huu
Arsenal
Bayern
Barcelona
Mancity
Psg
Angalia vitu vifuatavyo
Makocha
Falsafa ya uchezaji wao
Wachezaji wa hizo team
Matokeo ya mech za karibuni au msimu huu
Something is happening


Katika timu zote ulizo ziorodhesha hapo timu lofa kuliko zote ni Arsenyau kuanzia


Daah mwanangu flano acha basi kutusagia kunguni.Katika timu zote ulizo ziorodhesha hapo timu lofa kuliko zote ni Arsenyau kuanzia
-Kocha
-Falsafa ya uchezaji
-Wachezaji
-Matokeo pamoja na MAKOMBE(TROPHIES)
Kiuhalisia Arsenyo ni kanyau flani hivi kenye utapiamlo lakini mashabiki wake wanaforce hako kanyau kaonekane ni li Simba limoja likubwa hivi.
Ni dharau kubwa Arsenyo kuifananisha au kuinasibisha kwa namna yoyote ile na Bayern, Barcelona, Mancity au Psg.
Leo tunakusamehe ila siku nyingine kwa namna yoyote ile kabla ya kuzifananisha, linganisha au kuzinasibisha hizo timu na Arsenyetoz hakikisha uwe na wakili wako pembeni![]()
Nawaambia tafuteni wachezaji wa kueleweka hawa kina sijui hujurungi mara biriyani penandoz siku tukikutana na nyie tukiwa in full force basi hakuna rangi mtaacha kuiona.


shauri yako, mpaka january inaisha na ndoto za top4 zitakua tayari zimeyayuka, sisi tutabaki kuwacheka tu.😂😂😂 nacheka sana ivi kocha wenu pesa zote zile alizotumia bado anategemea magoli ya corner kama mechi za bongo.Hata Labyrinth amerudi 😀😀. Mpira umekuwa mtamu sasa 😀😀
umejipanga kuhamia Chelkenge hivi karibuni? Ama utabaki na Mijusi kidogo kwanza?😂😂😂 nacheka sana ivi kocha wenu pesa zote zile alizotumia bado anategemea magoli ya corner kama mechi za bongo.
Chelsea hao wakikaza kidogo ubingwa huo hapo .
Nyinyi false hope sijui phase zote zile lakini holla daah.
watu wakuhurumiwa zaidi hapa dunian ni Arsenal fans.
Mimi nimeleta Data. Nawe ulitakiwa ulete uthibitisho wako kwa maandishi kama nilivyoleta. Research hupingwa kwa research🤣🤣🤣🤣Arsenal ana kombe moja la ligi tangu dunia iumbwe?
Update knowledge yako ya mpira kabla hujasumbua watu kusoma unachoandika.
Kwahiyo hata ukiandika uongo ukaubatiza jina la research unatarajia mtu asumbuke kukuelewesha kwamba umeandika uongo?Mimi nimeleta Data. Nawe ulitakiwa ulete uthibitisho wako kwa maandishi kama nilivyoleta. Research hupingwa kwa research🤣🤣🤣🤣
Hakuna uongo hapo jamaa. Wewe thibitisha kwa takwim full stopKwahiyo hata ukiandika uongo ukaubatiza jina la research unatarajia mtu asumbuke kukuelewesha kwamba umeandika uongo?
Au umeanza kufuatilia mpira wiki hii?Hakuna uongo hapo jamaa. Wewe thibitisha kwa takwim full stop
Labda ni kweli unachosema lakini ni kwa zama zile niambie baada ya Ronaldinho gaucho mbrazili anayefanya vitu kama vyake? Utagundua ni zamawashika manyati
Nyenyenye star boy saka anatuletea EPL
Mnigeria wa mwisho alikuwa anajua ball Ni okocha tu hawa wengine ni matapeli