Tafuta News Live Ten sport utaangalia hadi mechi za ligi zote duniani live bila chenga.Dah yaani napata link tu na nyumbu wanapigwa.
Ngoja niitest mkuuTafuta News Live Ten sport utaangalia hadi mechi za ligi zote duniani live bila chenga.
Dah yaani napata link tu na nyumbu wanapigwa.
Kumbe pamoja na kushinda bado mpo nafasi ya 13Mje kujifunza mpira, mnazuiwa na Everton? Sisi tulimpiga 4. PambafView attachment 3177574
Chelsea yupo Kwenye Conference Ligi anawafundisha watoto mpira.Baada ya kutumia 1.2 Billion pounds za usajili na timu ipo conference league shabiki wake anakuja kutishia watu
🤣🤣🤣🤣liver katoa suluhu akiwa pungufu tena chances created kibao nyie suluhu na everton 😂😂 wote mpo ndani
Ninyi kweli wagonjwa wa ICU, mnatutakia mabaya badala ya kucheza mpira uwanjaniUnited did us a favour here.
Let's see what will Brentford do kwa Chelsea
Arsenal ana kombe moja la ligi tangu dunia iumbwe?Chelsea yupo Kwenye Conference Ligi anawafundisha watoto mpira.
Chelsea yupo nafasi ya pili kwenye ligi ya uingereza.
Chelsea ana makombe 5 za ligi ya uingereza
Chelsea ana makombe 2 za Ligi ya mabigwa
Chelsea ana makombe 2 za Club super Cup
Chelsea ana makombe 2 za Europa Champion Leagi
Chelsea ni timu kubwa ndiyo maana inatumia 1.2b plus kwenye usajili.
Arsenal ni anadog kwa Chelsea.
Arsenal ana community shield 15.
Arsenal ana kombe la ligi 1 tangu dunia iumbwe
Arsenal ana kombe la mabigwa 0 tangu dunia iumbwe
Arsenala ana kombe la Europa 0 tangu dunia iumbwe
Arsenal ana kombe la Club super Cup 0 tangu dunia iumbwe
Arsenal ni title contender misimu 7 mfululizo
Arsenal anatumia 100 paund milioni kusajili wachezaji. Ama kweli hii ni underdog team
Live Ten SportsAnayejua website ya kustream ambayo haigandi gandi aitaje wazee
Zote ninazojua zinastuck.
Najua livesports, yacine na orstreams
Kamari ukiwa jobless lazima kuna muda ikubebe tu. Nashangaa kuna watu wana mishahara na bado ni punters.Nilikua online naangalia watu wanavyocheza aviator aisee nakubali hii ishu inaweza kula 7M yako kama utani.
View attachment 3177685
Lembua umeanza kusahau kwamba mnatembelea purple patch na new coach bounceNinyi kweli wagonjwa wa ICU, mnatutakia mabaya badala ya kucheza mpira uwanjani