Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,920
- 75,773
Halafu unajua arsenal kachukua ligi mara moja tu?KWenye mpira mi mkongwe wewe.....
Halafu unajua arsenal kachukua ligi mara moja tu?KWenye mpira mi mkongwe wewe.....
Bado tu hujamove on??!Mudryk baada ya sekeseke akaenda Chelsea maisha yakaenda akaonekana ni flop. Mara anacheza hachezi maisha yanaenda.
Kisha anakuja anafeli doping test na kuonekana hua anatumia dawa za kuongeza nguvu.
Sasa kama akitumia dawa anakua hivi asipotumia anakuaje
Kiswahili kigumu sana au wewe ni dyslexicBado tu hujamove on??!
🤣🤣🤣🤣Bado tu hujamove on??!
Akizidii sana moja na nusu. Bisha na hii sasaHalafu unajua arsenal kachukua ligi mara moja tu?
Kumbe hujui kitu umekuja kubishana..Akizidii sana moja na nusu. Bisha na hii sasa
Jifunze kukubali matokeo, wewe siku zooote hizo miaka karibu mi2 unae tu rohoni. Jaribu kumuelewe alifuata moyo wake. Kama wewe ulivyoamua kushabikia Arsenal ambayo haina mbele wala nyuma.Kiswahili kigumu sana au wewe ni dyslexic
Swali langu jepesi tu wewe kwako kiswahili ni kigumu au ni dyslexic?Jifunze kukubali matokeo, wewe siku zooote hizo miaka karibu mi2 unae tu rohoni. Jaribu kumuelewe alifuata moyo wake. Kama wewe ulivyoamua kushabikia Arsenal ambayo haina mbele wala nyuma.
WE kENGE mjinga...upooo
Eh kumbe palace nao wana changamoto ya kufunga eee 😂 Bc tulieni mle vyuma hivyoFunny enough ni kwamba Sisi na Palace wote tuna changamoto ya kuscore.