Mimi nadhami timu yetu iliundwa kuwa na wachezaji bora nyuma, build up yetu ndio mafanikio yetu, mbele tuna subpar players apart from Saka ambao wanahitaji a lots of chances to make it happen, i think tuna a lot of system players, they cant make difference on their own wanahitaji system kufanya vizuri, na system inategemea zaidi wachezaji wa nyuma, hivyo hizi injury za kina Calafiori, zinny, tomiyasu, hata timber at times zimeturudisha sana nyuma.
We dont have a lots of difference makers upfront( Real Madrid level), kama system yoyote inaweza ku- nullify system yetu we become helpless. Hapa ndio maoni ya watu kama Makaveli kuwa tunahitaji Strikers wanaoweza kumake difference yanamake sense. Either kocha akubali ku-balance those dynamics au tutafute difference makers up front( Rafa leao & Osimhen) that's a way forward.
Ku balance dynamic i mean kukubali kuwa Kai & Martinelli ni system players, sasa ni namna gani ya kuwa-unlock ni kuleta wachezaji au viungo wanaobalance ubora wao. Mfano Kai au martinelli ni runners in behind so unahitaji viungo ambao ni good passers wanaoweza kutake risk ili kuwabalance hawa wawili vinginevyo we cant get the best out of these joes, au wasajiliwe wachezaji ambao ni generalists kwenye nafasi hizo.