bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,727
- 2,284
asenali kwishaa kabisaa...palace wanalamba tatu apaa
He is very hesitant to take his shotsCan anyone tell me, what pushed Arteta to bring Sterling on loan?
Nimeingia JF ili tu kukushitua umuone mwanetu jesus, huwezi mfananisha na kiazi kai.Ile composure na skill ya goli la Gabriel ni nzuri sana.
Pancha ndiyo changamoto kubwa ila no mchezaji wa level ya juu kwa KaiNimeingia JF ili tu kukushitua umuone mwanetu jesus, huwezi mfananisha na kiazi kai.
Kama anaaminiwa kama msimu wakr wa kwanza ule, jesus bado ni msaada, shida yake ni pancha tu, tofauti ya hilo ni bonge la mchezaji.
Pancha ni adui mkubwa, lakini arteta nae hataki kumpa nafasi toka aje kiazi kaiPancha ndiyo changamoto kubwa ila no mchezaji wa level ya juu kwa Kai
Kama kawa.
Huwa nashangaa sana, msimu jana ilibackfire still anaendelea na mabeki anao,....shennzzy.Ila ukweli usemwe, Arteta anaiharibu hii timu. Mali kama Partey yakuichezesha Fullback kweli?
Walivyo fungu la kukosa, na huko pia wanaweza wakatoka mikono mitupu. Tunza hii comment.Hilo tayari Kombe Lenu + FA + Community Sheld, Level zenu hizo
Ila EPL+ UCL Cups + WCC Huko msiingie mtavunjwa mguu, level za Mavampire
Waleteeee kati
Kuna uhakika gani kuwa mkofanya usajili mtapata ushindi.Dhidi ya Newcastle kwenye nusu fainali ya Carabao itakua ni two legged tie.
First leg itachezwa January 7 na second leg itacheza February 4. Kwa kuzingatia jinsi tulivyo slow kusajili inawezekana first leg ikatukuta hatuna sajili mpya ya kuhakikisha ushindi.
Tujipange