Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani mpaka hivi sasa mna draws 6 halafu mnaendelea kudanganyana kua eti mashabiki wa timu zingine wanaamini hamstahili kupata suluhu kwakua mna standards za juu?
Kamdomo kenu ndiko kanakosababisha kila mtu afurahi mnapo poteza points3, acheni kudanganyana humu na kupeana false hope kua eti mko na standards za juu wakati kila msimu nyie mnaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Standards zinaendana na wingi wa makombe kabatini, nyie mna standards za kamdomo tu peke yake



#Kamdomo FcView attachment 3176925
Huna haja ya kujichekesha, vision ya arsenal na ya timu yako ni vitu viwili tofauti. Utajichekesha ila huo ndiyo ukweli.
 
Huna haja ya kujichekesha, vision ya arsenal na ya timu yako ni vitu viwili tofauti. Utajichekesha ila huo ndiyo ukweli.
Vision ipi, hio ya kudanganyana kua mashabiki wa timu zingine wanaamini hamstahili kupata suluhu kwakua mna standards za juu halafu tayari mna draw 6 au?
Acha kudanganya watu humu, Arsenyau tokea iumbwe haijawahi kua na vision yoyote, hii timu laiti kweli ingekua na vision basi walau ingekua hata na kakombe kamoja ka Europa, ni bora uzungumzie Nottingham Forest na Aston Villa kua wana vision utaonekana unajielewa lakini sio nyie Arsenyau.
 
Vision ipi, hio ya kudanganyana kua mashabiki wa timu zingine wanaamini hamstahili kupata suluhu kwakua mna standards za juu halafu tayari mna draw 6 au?
Acha kudanganya watu humu, Arsenyau tokea iumbwe haijawahi kua na vision yoyote, hii timu laiti kweli ingekua na vision basi walau ingekua hata na kakombe kamoja ka Europa, ni bora uzungumzie Nottingham Forest na Aston Villa kua wana vision utaonekana unajielewa lakini sio nyie Arsenyau.
Acha kujichekesha mzee huna timu ya kunifanya nijibu chochote unachoandika kuhusu mpira
 
Ukweli mchungu kwa Wenger orphans kwanza ni asilimia 40😁😁 hii timu bwana
1734246960474.jpg
 
Baada ya kutumia 1.2 Billion pounds za usajili na timu ipo conference league shabiki wake anakuja kutishia watu
Suala la sisi kutumia hela Ni Jambo la kawaida Ni lazima tutumie na kutumia kwetu hela imeanza kutulipa kipitia hivyo tumetengeneza kikosi kipana na chenye Quality imagine tunajeuri ya kuwa na vikosi vitatu moja cha ligi, conference na cha FA na hii imetusaidia tunavyozidi kwenda ndio tunazidi kushinda game na wapinzani wetu mnapororomoka sababu ya hili suala
 
Suala la sisi kutumia hela Ni Jambo la kawaida Ni lazima tutumie na kutumia kwetu hela imeanza kutulipa kipitia hivyo tumetengeneza kikosi kipana na chenye Quality imagine tunajeuri ya kuwa na vikosi vitatu moja cha ligi, conference na cha FA na hii imetusaidia tunavyozidi kwenda ndio tunazidi kushinda game na wapinzani wetu mnapororomoka sababu ya hili suala
Actually upo sahihi kwenye upana wa kikosi.

Ila mnatakiwa kuuza home grown players kabla ya msimu ujao ili yasiwakumbe makesi ya city. So kama mnahitaji trophies ni msimu huu kuanzia ujao mna kazi ya kukipunguza
 
Back
Top Bottom