Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2024-12-06-16-08-55-934_com.instagram.barcelona-edit.jpg
 
Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa😄
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
Nwaneri hat trick

We'll be there
20240930_202741.jpg
 
Maisha bwana

Mijusi ipo hoi

Wazee wa kustay humble wapo hoi

Nyumbu limejikojolea chini ya Hakika Ruben

Kuna pimbi mmoja jina lake limenitoka alisema kahama Arsenal kaenda kwa mijusi eti wana vision kuliko Arsenal anayemkumbuka amtag hapa
 
Maisha bwana

Mijusi ipo hoi

Wazee wa kustay humble wapo hoi

Nyumbu limejikojolea chini ya Hakika Ruben

Kuna pimbi mmoja jina lake limenitoka alisema kahama Arsenal kaenda kwa mijusi eti wana vision kuliko Arsenal anayemkumbuka amtag hapa
@Ngongo unaitwa huku
 
Back
Top Bottom