ndo plan B yao hio 🤣Sijawahi kuona timu inachukua ubingwa kwa kutegemea magoli ya kona.
Kwa hiyo hayo siyo magoli.Sijawahi kuona timu inachukua ubingwa kwa kutegemea magoli ya kona.
utaona tu mwaka huuSijawahi kuona timu inachukua ubingwa kwa kutegemea magoli ya kona.
Nwaneri hat trickNyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa😄
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
😀😅😂🤣
Duh! Chizi mwingine huyu hapa amekuja na ratiba yake ya kuwa gunners tunacheza leo!Nyie washika rungu mkishinda Leo mniite gaidi
Timu la kijinga Sana hili
Arteta amekosa mbinu anasuburia magoli ya Kona🤣🤣🤣🤣🤣
We pimbi unaishi nchi gani ambayo Arsenal timu ya wababe inacheza leo?Nyie washika rungu mkishinda Leo mniite gaidi
Timu la kijinga Sana hili
Arteta amekosa mbinu anasuburia magoli ya Kona🤣🤣🤣🤣🤣
Sacked in the morning leo tena wamemuimbia Pep.Stay humble wapo hoi
@Ngongo unaitwa hukuMaisha bwana
Mijusi ipo hoi
Wazee wa kustay humble wapo hoi
Nyumbu limejikojolea chini ya Hakika Ruben
Kuna pimbi mmoja jina lake limenitoka alisema kahama Arsenal kaenda kwa mijusi eti wana vision kuliko Arsenal anayemkumbuka amtag hapa
Wakijifanya wabishi kama nyie tutawadunda kwa hat trick ya Kona....tunahitaji sana point tatu kuliko kucheza mpira mzuri...tupo nje ya mda majirani 🤠🤠🤠The potters leo tutakuwa na kibarua zidi ya Fulham
View attachment 3171833