Tumejifunza vya kutoshaShida ya Arsenal haiko seriously inapofika michezo ya muhimu mnapoteza kizembe mnakosa ubingwa kila msimu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa[emoji1]
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
😄😀😆[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
Juice ya stafeli shilingi ngapi kwa glass boss, beki 3 ni mtaalam watengeneza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
Hizi ndio stress sasa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
Bournemouth na Fulham wakishinda au wakisuluhu leo nyumbu anarudi mpaka nafasi yake aliyoizoea ya 13.
Hawana kochaSpurs kama kawaida.
Anafunga timu kubwa timu ndogo zinamnyoosha
Huyu ndo anafanya gunners iogopeke kwenye set piecesNicolas Jover, say my name
Hapa hakuna hata wa kumwachia apumue. Tukikamata hizo we are on top of the table.
ndo plan B yao hio 🤣Sijawahi kuona timu inachukua ubingwa kwa kutegemea magoli ya kona.
Kwa hiyo hayo siyo magoli.Sijawahi kuona timu inachukua ubingwa kwa kutegemea magoli ya kona.