Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yanajisifu halafu magoli yenyewe yote ni ya kona, ni vile tu hua hamsomi bible kwenye Agano la kale magoli ya kona yote ni haramu.
Inabidi viongozi wa dini walikemee sana hili.
Pole kijana, naona umeanza kuelewa maana ya HARAM FOOTBOL 😂😂😂

Tunacheza huku tunafundisha
 
Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa😄
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
 
Nyumbu sidhani kama Leo wataamka
Walidhani Arsenal ni Aston Villa
Nyumbu nitakufunga mara 20 mfululizo bila hata kupata sare
Hii mara ya 4 naanza kuhuesabu mdogo mdogo
Nasema hivi
Tukutane FA huko nitakufunga na kikosi B
Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
 
Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
😄😀😆
 
Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
Juice ya stafeli shilingi ngapi kwa glass boss, beki 3 ni mtaalam watengeneza.
 
20241205_153437.jpg
 
Hakika Ruben alivyoona tunamfuata Ureno akakimbia.

Alichokosea alikuja wakati bado hatujawapa dozi yao.
 
Back
Top Bottom