Ukiona unacheza na Arsenal halafu anakuacha ucheze mpira ujue ni mtego huo.asenali waombe drooo apaa
Zimebakia ngap hadi sasaNYie viazi mkifungwa, nyumbu anakua amebakisha point tatu kuwafikia.
Walisema wamejipataMsijisifu sana vilaza nyie, nyumbu yenyewe kocha mhindi yule.
Bado kuna yeyote mwenye swali?Nilisikia shabiki moja la nyumbu likisema Amorim is already a better coach than Arteta. Kwa sasa naona kama tarehe 4 ni mbali maana nna shauku ya kuliona hilo.View attachment 3160795