Mkuu tafadhali, usiwatishe jamaaIla nyumbu kaangukia wakati mbaya, first eleven imekamilika, tuna momentum, tuna confidence, game inachezwa Emirates, anaweza kula mkono km wenzie.
Erik kichwa ngumu alitufunga game yake ya kwanza nyumbu wakaamini sasa wamepata kocha.
Wakaanza kumfananisha na Artetasame mistake they made walipomfananisha Ole na Arteta. Viazi vingine vilimfananisha Lampard na Arteta, Potter na Arteta, De Zerbi na Arteta, Ange na Arteta.
What followed ni hao wote kufukuzwa isipokua huyu Ange ila wameshaacha kumfananisha na Arteta. Kenge wamejifunza Enzo anawapa matokeo ila hakuna aliyemfananisha na Arteta, labda kwakua hata Enzo mwenyewe anakubali kwamba kwa sasa wapo nyuma kiubora kulinganisha na Arsenal.
Ile game aliyoshinda Erik Kichwa Ngumu nadhani ndiyo ilisababisha Lokonga atafutiwe mkopo. Wakati tunamnunua Vincent Kompany alisema tunampata Vieira na Fabregas ndani ya mtu mmoja.
Pengine amekosa sana game time ila hajafikia matarajio


Mashabiki wa Arsenyau ndio maana hua tunasemaga kuna baadhi ya fuse zimeungua kwenye ndonga zenu(hizi ni akili za mashabiki wa mid table team) Hebu yataje mafanikio yao hao makocha woteMashabiki wa Arsenyau ndio maana hua tunasemaga kuna baadhi ya fuse zimeungua kwenye ndonga zenu(hizi ni akili za mashabiki wa mid table team)
Hao makocha uliowataja karibia wote wana mafanikio sawa na wengine ni makubwa kuliko Arteta, tena wao wamepata mafanikio kwa muda mfupi zaidi, lakini kwa kua wanafundisha timu zenye malengo makubwa kuliko Arsenyau wameona viatu vyao havitoshelei wamewatimua, nyinyi huyo Tetea huu msimu wake wa 6 hana kombe lolote la maana zaidi ya kakombe kamoja ka mwanaFA halafu kila siku humu ni ngonjera tu za kumsifu Tetea, kwa akili hizo mlizonazo sipati picha Tetea angekua na mafanikio makubwa kama Guardiola sijui hali ingekuaje humu.
Mashabiki wa Arsenyau ndio maana hua tunasemaga kuna baadhi ya fuse zimeungua kwenye ndonga zenu(hizi ni akili za mashabiki wa mid table team)
Hao makocha uliowataja karibia wote wana mafanikio sawa na wengine ni makubwa kuliko Arteta, tena wao wamepata mafanikio kwa muda mfupi zaidi, lakini kwa kua wanafundisha timu zenye malengo makubwa kuliko Arsenyau wameona viatu vyao havitoshelei wamewatimua, nyinyi huyo Tetea huu msimu wake wa 6 hana kombe lolote la maana zaidi ya kakombe kamoja ka mwanaFA halafu kila siku humu ni ngonjera tu za kumsifu Tetea, kwa akili hizo mlizonazo sipati picha Tetea angekua na mafanikio makubwa kama Guardiola sijui hali ingekuaje humu.
Kuna muda unaweza kuona mchezaji kapanic kumbe ni wewe shabiki ndiye uliyepanic.hii mechi droo kipa kapanikii
Arsenal na Liverpool for decades ni tuna gentlemanly rivalry. Hatusumbuani nao kama Spurs, Kenge na Nyumbu, yawezekana ni kwa vile hatujawahi kua kwenye kugombea nao trophies for years kwakua kipindi tupo on fire wao walikua worse, wao wapo on fire sisi tulikua worse
Leo wapate suluhu tu mengine tutajua huko huko. Baadhi ya mashabiki wanasema ni bora ashinde Liva na siyo city kwakua ukimpa city confidence atakuumiza in the long run.
Wengine wamepoint bora suluhu. Ila kwa jinsi City wanacheza siku hizi na transition ya liva ilivyo sasa Liva wanaweza kushinda. City akirudia kucheza jinsi alivyocheza nao msimu nyuma, kuwasusia possession, itakua suluhu ya wazi.
Kikombe cha tano kiendelee kwakwli....na ikiwapendeza zaidi odegaard na Saka basi hata goli sita itakuwa safi zaidiJ5 pale emirate kuna mcharuko wa uingereza vijijini anakuja kuliwa tunda kimasiraha
Napendekeza apigwe nne (miguu ya stuli)
Flano Unasemaje hapo?
Flano mkuu habari yako 🤠🤠🤠...ilibidi nikae kimya kidogo maana timu ilikuwa inapitishwa kwny moto mkali sana....Kila siku vichapo nikawa sina nguvu ya kubishana na ww shabiki lialia wa Manunu.....nakuheshimu sana Bro kwa kuwa na ngozi ngumu....kama mm ndo ningekuwa Niko Manunu...hakyanani nisingekuwa hata naingia jukwaani kuona maneno ya wadau....maana kuna watu Wana mdomo mchafu kwlikwli akianza kuiponda timu yqkoMashabiki wa Arsenyau ndio maana hua tunasemaga kuna baadhi ya fuse zimeungua kwenye ndonga zenu(hizi ni akili za mashabiki wa mid table team)
Hao makocha uliowataja karibia wote wana mafanikio sawa na wengine ni makubwa kuliko Arteta, tena wao wamepata mafanikio kwa muda mfupi zaidi, lakini kwa kua wanafundisha timu zenye malengo makubwa kuliko Arsenyau wameona viatu vyao havitoshelei wamewatimua, nyinyi huyo Tetea huu msimu wake wa 6 hana kombe lolote la maana zaidi ya kakombe kamoja ka mwanaFA halafu kila siku humu ni ngonjera tu za kumsifu Tetea, kwa akili hizo mlizonazo sipati picha Tetea angekua na mafanikio makubwa kama Guardiola sijui hali ingekuaje humu.
Kilichotu cost msimu huu ni hizi international breaks....wachezaji wanapata injuries za ajabu ajabu.....ila tungekuwa na full squad toka mwanzo hakyanani Livakuku asingekuwa katupita hili gepu...kikubwa tuendelee kuwadunda watu mikono ya nyani mfululizo halafu tuone kama Livakuku watqweza kuhimili presha....na tuendelee hivi hivi....siku kipara gari likiwaka aisee tutatafutana....maana yule kushinda mechi 20 mfululizo hashindwiIla bado hatujapata Ile fluidity ya last season
Kipara ukisema amekufa ni mpaka uone msalamba au kaburi linajengwa.Kilichotu cost msimu huu ni hizi international breaks....wachezaji wanapata injuries za ajabu ajabu.....ila tungekuwa na full squad toka mwanzo hakyanani Livakuku asingekuwa katupita hili gepu...kikubwa tuendelee kuwadunda watu mikono ya nyani mfululizo halafu tuone kama Livakuku watqweza kuhimili presha....na tuendelee hivi hivi....siku kipara gari likiwaka aisee tutatafutana....maana yule kushinda mechi 20 mfululizo hashindwi
Watkins hana tofauti na yule Rashford.I mean one season wonder.Ila tunahitaji striker,na sio yule wa matazamio bali awe ni proven.
The likes of sesko,victor hata Watkins sio mbaya
Sio kweli umeandika, ukweli ni kuwa nyinyi mmekua nyanya Sana kwa Liverpool..Sasa hapo fierce rivarly itoke wapi?Arsenal na Liverpool for decades ni tuna gentlemanly rivalry. Hatusumbuani nao kama Spurs, Kenge na Nyumbu, yawezekana ni kwa vile hatujawahi kua kwenye kugombea nao trophies for years kwakua kipindi tupo on fire wao walikua worse, wao wapo on fire sisi tulikua worse
Leo wapate suluhu tu mengine tutajua huko huko. Baadhi ya mashabiki wanasema ni bora ashinde Liva na siyo city kwakua ukimpa city confidence atakuumiza in the long run.
Wengine wamepoint bora suluhu. Ila kwa jinsi City wanacheza siku hizi na transition ya liva ilivyo sasa Liva wanaweza kushinda. City akirudia kucheza jinsi alivyocheza nao msimu nyuma, kuwasusia possession, itakua suluhu ya wazi.
Nilichoandika ni kweli kipindi hicho nipo deep na ushabiki wa mpira kulikua na shabiki wa liver alibisha kama wewe.Sio kweli umeandika, ukweli ni kuwa nyinyi mmekua nyanya Sana kwa Liverpool..Sasa hapo fierce rivarly itoke wapi?
Hivi umesahau kuwa Kati ya 93-2000 ilikuwa ni kichapo tu kwa Arsenal, Robbie Fowler pekee allifunga Arsenal magoli 12 kipindi hicho,ikiwemo harttrick ya dk 3 kwa David Seaman
Haya Jurgen Klop ndio kabisa 4-0 za kutosha Firmino pekee kaifunga goli 12 kipindi hicho Salah 10 Manne 8