Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilichoandika ni kweli kipindi hicho nipo deep na ushabiki wa mpira kulikua na shabiki wa liver alibisha kama wewe.

Kazi ikawa ni kuprove mara ngapi Arsenal kamaliza juu ya liver kabla ya 2017 au 2018, alivyoona ukweli akakaa kimya. Hauna haja ya kubisha kama memory yako inaishia hapo 2000 na hizo hat tricks.

Andrey Arshavin aliscore magoli manne dhidi ya liver, unajua kama kuna hichi kitu?

Elewa kitu hichi, kipindi tupo on fire liver ilikua hovyo (hichi ni kipindi chote baada ya transformation ya Wenger) liver imekua vizuri Arsenal tuko hovyo (miaka 3 baada ya Klopp kuja)

Hatujawahi kugombea mchezaji wala makocha wetu kutukanana. Hatujawahi kugombea crown kwa pamoja ukilingaisha na united. Wako juu tupo chini, tupo juu wako chini.
Sasa hapo hoja yako ni kumaliza juu yake au Rivarly? Kwani Rivarly Inahusiana na kumaliza juu ya mwenzake? Issue ni head to head, yaani hata wakati Arsenal ya 97-2000 iliyokuwa ikimaliza juu ya liver kichapo kilikuwa palepale,hata hiyo mechi unayoisema ya Arshavin kufunga goli nne illisha kwa sare ya 4-4 msimu wa 2008/09
 
Sasa hapo hoja yako ni kumaliza juu yake au Rivarly? Kwani Rivarly Inahusiana na kumaliza juu ya mwenzake? Issue ni head to head, yaani hata wakati Arsenal ya 97-2000 iliyokuwa ikimaliza juu ya liver kichapo kilikuwa palepale,hata hiyo mechi unayoisema ya Arshavin kufunga goli nne illisha kwa sare ya 4-4 msimu wa 2008/09
Itakua kuna sehemu sikuelewi.

So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?

Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
 
Nilichoandika ni kweli kipindi hicho nipo deep na ushabiki wa mpira kulikua na shabiki wa liver alibisha kama wewe.

Kazi ikawa ni kuprove mara ngapi Arsenal kamaliza juu ya liver kabla ya 2017 au 2018, alivyoona ukweli akakaa kimya. Hauna haja ya kubisha kama memory yako inaishia hapo 2000 na hizo hat tricks.

Andrey Arshavin aliscore magoli manne dhidi ya liver, unajua kama kuna hichi kitu?

Elewa kitu hichi, kipindi tupo on fire liver ilikua hovyo (hichi ni kipindi chote baada ya transformation ya Wenger) liver imekua vizuri Arsenal tuko hovyo (miaka 3 baada ya Klopp kuja)

Hatujawahi kugombea mchezaji wala makocha wetu kutukanana. Hatujawahi kugombea crown kwa pamoja ukilingaisha na united. Wako juu tupo chini, tupo juu wako chini.
Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
 
Itakua kuna sehemu sikuelewi.

So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?

Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
Nielewe Kama ifuatavyo..Ni hivi hiyo gentleman rivarly unayoisema inatokana na unyonge wa Arsenal kwa Liverpool,kwa sababu fierce rival huchangiwa na tension of game,not otherwise...Sasa kwa mfano hivi unajua kwa zaidi ya miaka 10 Arsenal haijashinda mechi Anfield,wakati Liverpool kushinda Emirates ni Jambo la kawaida Tena kwa idadi kubwa ya magoli..5-4,3-1,2-0 nk??
 
Nielewe Kama ifuatavyo..Ni hivi hiyo gentleman rivarly unayoisema inatokana na unyonge wa Arsenal kwa Liverpool,kwa sababu fierce rival huchangiwa na tension of game,not otherwise...Sasa kwa mfano hivi unajua kwa zaidi ya miaka 10 Arsenal haijashinda mechi Anfield,wakati Liverpool kushinda Emirates ni Jambo la kawaida Tena kwa idadi kubwa ya magoli..5-4,3-1,2-0 nk??
Lverpool na United hazina fierce rivalry?
 
Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
Kwako rivalry inatokana na mechi moja moja?

Siyo bigger picture?
 
Kuna hii streaming site naona iko vizuri kwa quality kuliko livesports 088
 
Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
Mpaka 2013 bado liver hakai meza moja na Arsenal.
 
Ukiwa ni mfuatiliaji mzuri wa mpira utagundua kwamba RIVERLY kati ya club na club inaundwa na vitu vingi nje ya matokeo ya uwanjani

Ila sababu kubwa zaidi ni HISTORIA ya vilabu husika.Namaanisha namna vilabu vilivyoundwa na kukua.
 
Itakua kuna sehemu sikuelewi.

So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?

Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
Ninyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa huko
Tumerudi nafasi yetu ,pimbi ninyi mlikuwa mmekaimu tu ,mabosi WA London tumerudi
 
Back
Top Bottom