Kajunjumelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2024
- 220
- 241
Sasa hapo hoja yako ni kumaliza juu yake au Rivarly? Kwani Rivarly Inahusiana na kumaliza juu ya mwenzake? Issue ni head to head, yaani hata wakati Arsenal ya 97-2000 iliyokuwa ikimaliza juu ya liver kichapo kilikuwa palepale,hata hiyo mechi unayoisema ya Arshavin kufunga goli nne illisha kwa sare ya 4-4 msimu wa 2008/09Nilichoandika ni kweli kipindi hicho nipo deep na ushabiki wa mpira kulikua na shabiki wa liver alibisha kama wewe.
Kazi ikawa ni kuprove mara ngapi Arsenal kamaliza juu ya liver kabla ya 2017 au 2018, alivyoona ukweli akakaa kimya. Hauna haja ya kubisha kama memory yako inaishia hapo 2000 na hizo hat tricks.
Andrey Arshavin aliscore magoli manne dhidi ya liver, unajua kama kuna hichi kitu?
Elewa kitu hichi, kipindi tupo on fire liver ilikua hovyo (hichi ni kipindi chote baada ya transformation ya Wenger) liver imekua vizuri Arsenal tuko hovyo (miaka 3 baada ya Klopp kuja)
Hatujawahi kugombea mchezaji wala makocha wetu kutukanana. Hatujawahi kugombea crown kwa pamoja ukilingaisha na united. Wako juu tupo chini, tupo juu wako chini.
