Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Itakua kuna sehemu sikuelewi.

So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?

Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
Nielewe Kama ifuatavyo..Ni hivi hiyo gentleman rivarly unayoisema inatokana na unyonge wa Arsenal kwa Liverpool,kwa sababu fierce rival huchangiwa na tension of game,not otherwise...Sasa kwa mfano hivi unajua kwa zaidi ya miaka 10 Arsenal haijashinda mechi Anfield,wakati Liverpool kushinda Emirates ni Jambo la kawaida Tena kwa idadi kubwa ya magoli..5-4,3-1,2-0 nk??
 
Nielewe Kama ifuatavyo..Ni hivi hiyo gentleman rivarly unayoisema inatokana na unyonge wa Arsenal kwa Liverpool,kwa sababu fierce rival huchangiwa na tension of game,not otherwise...Sasa kwa mfano hivi unajua kwa zaidi ya miaka 10 Arsenal haijashinda mechi Anfield,wakati Liverpool kushinda Emirates ni Jambo la kawaida Tena kwa idadi kubwa ya magoli..5-4,3-1,2-0 nk??
Lverpool na United hazina fierce rivalry?
 
Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
Kwako rivalry inatokana na mechi moja moja?

Siyo bigger picture?
 
Kuna hii streaming site naona iko vizuri kwa quality kuliko livesports 088
 
Yaani kipindi kifupi pekee ambacho Arsenal kamnyanyasa Liverpool ni kile Cha 2002-2006 mfano Ile mechi Thierry Henry anawapunguza kina Carragher na kumzunguka Dudek mechi ya 4-2 msimu wa invisible
Na Ile ya Julio Baptista kufunga harttrick Anfield ushindi wa 6-3 kombe la Carling(Sasa Carabao) msimu wa 2005/06
Nje ya hapo ni vipigo vya paka kakomba mboga yaani 5-1,4-0 za kutosha ikiwemo Ile ya msimu wa 2013/14 ambapo ndani ya dk 20 scoreboard ilikuwa inasoma 4-0 kiasi Cha camera kumuonesha Colsieny anatoa machozi kwa mechi iliyoisha 5-1
Mpaka 2013 bado liver hakai meza moja na Arsenal.
 
Ukiwa ni mfuatiliaji mzuri wa mpira utagundua kwamba RIVERLY kati ya club na club inaundwa na vitu vingi nje ya matokeo ya uwanjani

Ila sababu kubwa zaidi ni HISTORIA ya vilabu husika.Namaanisha namna vilabu vilivyoundwa na kukua.
 
Itakua kuna sehemu sikuelewi.

So ili rivalry ije unahisi nini kingekuepo kingeleta rivalry?

Nimeongelea magoli ya mchezaji mmoja siyo matokeo ya mechi
Ninyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa huko
Tumerudi nafasi yetu ,pimbi ninyi mlikuwa mmekaimu tu ,mabosi WA London tumerudi
 
Flano mkuu habari yako [emoji1783][emoji1783][emoji1783]...ilibidi nikae kimya kidogo maana timu ilikuwa inapitishwa kwny moto mkali sana....Kila siku vichapo nikawa sina nguvu ya kubishana na ww shabiki lialia wa Manunu.....nakuheshimu sana Bro kwa kuwa na ngozi ngumu....kama mm ndo ningekuwa Niko Manunu...hakyanani nisingekuwa hata naingia jukwaani kuona maneno ya wadau....maana kuna watu Wana mdomo mchafu kwlikwli akianza kuiponda timu yqko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli.
Humu alibaki chawa mmoja tu wa kuitwa mkorea tena kachezea spana za kutosha mpaka ikabidi mwenyewe aombe radhi na kujitetea kua ni Masingeli ndie aliekua anamshikilia akili yake, anadai kipindi kile hata yeye mwenyewe alikua hajitambui vizuri alikua anajikuta tu ameshaandika comments za kumsupport na kumuunga mkono Masingeli bila ya ridhaa yake.
Anadai Masingeli huenda alimtumia kwa nguvu za giza pasi na hiari yake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, sie Bado tunajenga timu Hawa arsenal sio wenzetu kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hawa Arsenyau ni wa kwenda nao tu hivyohivyo, hawa sio wa kuishi nao kinyonge, hapa kwenyewe wana wasiwasi kwelikweli na mechi yetu.
Hizi kima kwanza hua hazijiamini muda wote zimesimama mkia juu kama ngiri, ukizikurupua tu kila mmoja anakimbilia chocho yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom