makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,756
- 103,697
Yes, kwa hapa hakuna kitu unaweza kuongea na mtu akakuelewa.Wakati nacheza mpira tulikua na forward wetu tunamuita Makarateka.
Jamaa alikua ana bahati ya kuscore vibaya mno. Alikua mrefu ana stature ya kizembe ila ndiye tulikua tunamtegemea kuscore.
Anachotubana Kai ni kwamba yupo hovyo ila anascore