Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati nacheza mpira tulikua na forward wetu tunamuita Makarateka.

Jamaa alikua ana bahati ya kuscore vibaya mno. Alikua mrefu ana stature ya kizembe ila ndiye tulikua tunamtegemea kuscore.

Anachotubana Kai ni kwamba yupo hovyo ila anascore
Yes, kwa hapa hakuna kitu unaweza kuongea na mtu akakuelewa.
 
Mechi 2 za nyuma, kipindi cha pili hatukuwa vyema kama kipindi cha kwanza, ngoja tuone kama ni ugonjwa ama ilitokea tu.
 
Back
Top Bottom