Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna mifano mingi ila nataja mmoja.

Martin Odegaard alionekana hafai Real Madrid ila ndiye kapteni wa timu yetu na play maker tegemezi.

Gyokeres kuonekana hafai huko kwingine na kuona ni upepo unambeba Sporting ni shabiki wa Chelkenge anavyomuangalia Kai akiwa Arsenal

Sasa kuwafanya tegemezezi average player aina ya Odegaard huoni kuwa ndiyo sababu ya kuwa hamushindi chochote?
Mbona unatoa mifano ya kujikwamisha mwenyewe?
Au unaona Real ni wajinga kumuacha Odegaard?
 
Sasa kuwafanya tegemezezi average player aina ya Odegaard huoni kuwa ndiyo sababu ya kuwa hamushindi chochote?
Mbona unatoa mifano ya kujikwamisha mwenyewe?
Au unaona Real ni wajinga kumuacha Odegaard?
Real pia walimuacha Fabinho.

Fabinho akaenda Liverpool.

Kama unafuatilia mpira unajua kilichotokea
 
I agree, akipata feeders wazuri kama wa Arsenal, ubingwa tunachukua February
Gyokeres anatisha kaka,
Kapambana na best defence duo in the world
Katika pambano lake amaambulia dribbles , mashuti kadhaa na mwamba aligongesha .
Gyokeres ni noma

Hebu fikiria
 
Screenshot_2024-11-30-08-36-10-898_com.instagram.android-edit.jpg
 
Odegaard full 90 minutes kacheza games 2 tangu atoke majeruhi.

Hizo zote timu imescore kuanzia magoli 3. Kwa sasa hivi tupo nafasi ya 5 na kinachotuweka hapo ni tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.

Kocha wa Westham ni kama ana matatizo hajajua starting 11 na hajajua formation inayompa ushindi. Hapo hapo amekua na tabia ya kutochezesha best players nafasi zao.

Let us hope huo uchizi atakuja nao leo tena.
 
Odegaard full 90 minutes kacheza games 2 tangu atoke majeruhi.

Hizo zote timu imescore kuanzia magoli 3. Kwa sasa hivi tupo nafasi ya 5 na kinachotuweka hapo ni tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.

Kocha wa Westham ni kama ana matatizo hajajua starting 11 na hajajua formation inayompa ushindi. Hapo hapo amekua na tabia ya kutochezesha best players nafasi zao.

Let us hope huo uchizi atakuja nao leo tena.
Advantage tuliyo nayo Kudus yupo suspended, kwa hiyo hachezi
 
🚨👀 Mikel Arteta on Liverpool’s super form:

“We’ve been there and to sustain it for 10 months is extremely difficult, everything has to go your way, and sadly when you think you have it, one day it collapses… it can happen at any moment and we have to be ready for that.”
 
Instagram wamemuweka Trossard kwenye post ya hii mechi.

I think tunaweza tukarudia kile kikosi cha ligi
 
Dogo Nichols ana pasi zinachana balaa.

Partey hayupo bench wala list ya sub.

Namuona Tierney bench na ananikumbusha wakati anafika, alikua mchezaji pekee anayecheza kwa moyo wote. No, qns asked.
 
Kiwior anaweza kuuzwa.

Same na Zinchenko.

Klabu inafikiria kumuongezea mkataba Partey
 
Back
Top Bottom