Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nani haiogopi Asenaliiii?
Isingekuwa dhulma na njama hasi dhidi yetu, tungekuwa tunaongoza ligi zote za nyumbani na barani mpaka sasa. Ila tunapambana na tutapambana mpaka kieleweke.
 
Kuna watu Wana mchango katika magoli ila huwez wakuta kwenye list ya top assist.

Jana katika goli la pili ni rahisi kumuona Saka akitoa assist kwa kiaz Kai harvets.Big deal katika goli Hilo ni pass aliyopokea Saka toka kwa partey,aisee Ile pass ni balaaa
 
IMG-20241127-WA0012.jpg
 
Umesahau kacheza na best CB duo in the world kwa sasa na ameweza kupata shots on target na nyingine ikahit woodwork.

Unaidharau defense ya Arsenal?
Sikupingi
Kama kurud EPL tena, kwa ile style yake EPL itamshinda tena

Usimchukulie poa kai
Screenshot_20241127_114016_FotMob.jpg
 
Sikupingi
Kama kurud EPL tena, kwa ile style yake EPL itamshinda tena

Usimchukulie poa kaiView attachment 3163046
Kai amescore tap in kisha akakosa nafasi ya wazi.

Ila kiukweli jana kajitahidi kwenye link up

Forward yetu yote hakuna inayoweza kwenda physical na defender na kushuti. Kwa EPL ni Vardy, Watkins na Antonio wanaweza hivyo na kuscore.

Gyokeres miguu imechoka ila alimkimbiza Kiwior na kupata woodwork shot. Hapo Kiwior ana dakika moja tangu aingie
 
Kai amescore tap in kisha akakosa nafasi ya wazi.

Ila kiukweli jana kajitahidi kwenye link up

Forward yetu yote hakuna inayoweza kwenda physical na defender na kushuti. Kwa EPL ni Vardy, Watkins na Antonio wanaweza hivyo na kuscore.

Gyokeres miguu imechoka ila alimkimbiza Kiwior na kupata woodwork shot. Hapo Kiwior ana dakika moja tangu aingie
Kwenye mpira, ukipata pass au upo na nafasi ya kufunga huwa nguvu inaongezeka tu. Hii experience kama umeshawai kucheza mpira

Kai ni moja kati ya forward sumbufu, kwenye build up, pressing and attacking kote yupo, kama ulivyo-appreciate kwa performance ya jana kai ameupiga sana, reason behind kulikua kuna watu wanaojua jinsi ya kucheza nae

Gyokeres yupo too predictable
 
Kwenye mpira, ukipata pass au upo na nafasi ya kufunga huwa nguvu inaongezeka tu. Hii experience kama umeshawai kucheza mpira

Kai ni moja kati ya forward sumbufu, kwenye build up, pressing and attacking kote yupo, kama ulivyo-appreciate kwa performance ya jana kai ameupiga sana, reason behind kulikua kuna watu wanaojua jinsi ya kucheza nae

Gyokeres yupo too predictable
Gyokeres jana alikabwa na Saliba, Gabriel, Odegaard na Partey.

Kwanini tumekua na slow start msimu huu ingawa Kai yupo tangu mwanzo?

Unamaanisha haihatajiki ST au hahitajiki Gyokeres?
 
Gyokeres jana alikabwa na Saliba, Gabriel, Odegaard na Partey.

Kwanini tumekua na slow start msimu huu ingawa Kai yupo tangu mwanzo?

Unamaanisha haihatajiki ST au hahitajiki Gyokeres?
Anahitajika striker lakini sio Gyokeres

Kai anahitaji kuchezeshwa na namba 10 na 8 wazuri bila kusahau wingers(7 and11) wenye kasi
Hao waki-struggle, kai lazima apoteane ila muda wowote anaweza kukuua
 
Anahitajika striker lakini sio Gyokeres

Kai anahitaji kuchezeshwa na namba 10 na 8 wazuri bila kusahau wingers(7 and11) wenye kasi
Hao waki-struggle, kai lazima apoteane ila muda wowote anaweza kukuua
Gyokeres, games 25 magoli 33.

6 kascore UEFA.

Arsenal tumescore goli 8 UEFA.

What does this tell you?
 
Gyokeres, games 25 magoli 33.

6 kascore UEFA.

Arsenal tumescore goli 8 UEFA.

What does this tell you?
Sometimes statistics hazi-guarantee consistency ya mchezaji. Jamaa upepo mzuri umemtembelea
Screenshot_20241127_160339_FotMob.jpg
 
Sometimes statistics hazi-guarantee consistency ya mchezaji. Jamaa upepo mzuri umemtembelea
View attachment 3163326
Kuna mifano mingi ila nataja mmoja.

Martin Odegaard alionekana hafai Real Madrid ila ndiye kapteni wa timu yetu na play maker tegemezi.

Gyokeres kuonekana hafai huko kwingine na kuona ni upepo unambeba Sporting ni shabiki wa Chelkenge anavyomuangalia Kai akiwa Arsenal
 
Tumebakisha games 3
Monaco
Dinamo Zagreb
Girona

Tukishinda hizi mechi zote tutakua na nafasi kua nafasi 8 za juu bila haja ya kucheza playoffs.
 
Hamna mtu humo
Gyokeres anatisha kaka,
Kapambana na best defence duo in the world
Katika pambano lake amaambulia dribbles , mashuti kadhaa na mwamba aligongesha .
Gyokeres ni noma

Hebu fikiria angekuwa upande wetu.
 
Kuna mifano mingi ila nataja mmoja.

Martin Odegaard alionekana hafai Real Madrid ila ndiye kapteni wa timu yetu na play maker tegemezi.

Gyokeres kuonekana hafai huko kwingine na kuona ni upepo unambeba Sporting ni shabiki wa Chelkenge anavyomuangalia Kai akiwa Arsenal
Na kuna mifano mingi sana ya vice-vers ya ulichoandika

Standard ya Ligi ya Ureno kama kubet tu (sijasema ni farmer leagues) na kwa price watakayolopoka.
Tutakuja kutafutana wenyewe kwa wenyewe, mchawi nani
 
Back
Top Bottom