Yupo Nwaneribila partey asenal anapakatwaa
Partey na merino wameumia au vp hapaKiwior anaweza kuuzwa.
Same na Zinchenko.
Klabu inafikiria kumuongezea mkataba Partey
Kai huyi ni kenge tu, ngoja boli lianze, mie ananikera zaidi ya anavyoniburudisha.
Hata mie simkubali kabisa.

Wakati nacheza mpira tulikua na forward wetu tunamuita Makarateka.Kai huyi ni kenge tu, ngoja boli lianze, mie ananikera zaidi ya anavyoniburudisha.