Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa Newcastle kama shauri la kutaka timu zinazomilikiwa na Dola zisiwepo ligi kuu likipita si watashuka daraja?
 
Kai huyi ni kenge tu, ngoja boli lianze, mie ananikera zaidi ya anavyoniburudisha.
Wakati nacheza mpira tulikua na forward wetu tunamuita Makarateka.

Jamaa alikua ana bahati ya kuscore vibaya mno. Alikua mrefu ana stature ya kizembe ila ndiye tulikua tunamtegemea kuscore.

Anachotubana Kai ni kwamba yupo hovyo ila anascore
 
Game tuliyowapiga 6

Wa kwanza kuscore alikua beki Saliba kwa kona.

Hii ya leo wa kwanza kuscore Magalhaes kwa kona.

Trossard aliscore naona na leo kascore
 
Mechi iliyopita tulipata penalty

Na hii tumepata penalty

Aliyeangushwa alikua Saka.

Na leo kaangushwa Saka.

Alipiga Saka akascore.

Leo kapiga Odegaard na kascore
 
Back
Top Bottom