Yap.😀 😀 😀 😀
ukiachana na ukosefu wa vibe tusiposhinda, SABABU KUU ya mimi kupunguza mahudhurio humu ni mazingira niliyopo sasa. Network ni ya shida sana.
ila kama castr alivyokujibu...sisi tupo tu na timu yetu ya mabingwa katika hali zote
Daah mijitu mingine bana..., toka asbh umetoa mishipa kwenye nyuzi za timu bora, umesahau kumbe chama lako bovu zaidi
punguza kujifariji mkuu, kocha la ball Harmorapa ameshasema ligi anaanza rasmi wiki ijayo atapokutana na Arsenyo.
Yaani baada ya hio kauli yake ghafla tu nimejikuta naanza kuwahurumia mashabiki wa Arsenyau
Acheni basi..., zile pwenti tatu za waziwazi tuuu...
Yaani mnataka kuleta maneno kama vile kuna mechi na nyie wakati ni uji uji tu.
Kuna kitu kafanya ambavyo kai ajawai kufanya?Jesus hajaanza PL mechi for god knows how long, unataka kumlinganisha na Kai aliepewa trust na muda ku adapt?
Of coarse during the game he had his moments huwezi kusema kaharibu, unaona kabisa passing game yake ni nzuri and how he connects with his teammates (like that move from the flank with Ødegaard).
Liverpool Wanaongoza Ligi kwa tofauti ya point 8 huu mwezi November
Hapa ndio tutaona tofauti ya timu kubwa
Liva hawezi kufikiwa kirahisi tofauti na Asenyeto waliongoza point 8 bado mechi 10 na ubigwa ukakosekana
Tumeichukua hii ili tukuoneshe itavokua.Liverpool Wanaongoza Ligi kwa tofauti ya point 8 huu mwezi November
Hapa ndio tutaona tofauti ya timu kubwa
Liva hawezi kufikiwa kirahisi tofauti na Asenyeto waliongoza point 8 bado mechi 10 na ubigwa ukakosekana