Arteta hana akili umbwa huyu.To be honest I'm starting to doubt the gaffer tactics. Hii game ya leo Chelsea hawakuwa hatari wala organized kihovyo ila tumepoteza point 3 kizembe kabisa.
Hapana Chelsea wameimprove Sana na wanawachezaji wazuri tungeweza kufungwa kabisa yule Neto ni hatari. Chakushukuru ni Ode kurudi tuombee na Calafiori timu imeanza kuimarika hatuko mbali Sana table Iko vizuri tuache uzembe TU wa kuruhusu timu ndogo kupata matokeo kwetuArteta hana akili umbwa huyu.
Sidhani.Hapana Chelsea wameimprove Sana na wanawachezaji wazuri tungeweza kufungwa kabisa yule Neto ni hatari. Chakushukuru ni Ode kurudi tuombee na Calafiori timu imeanza kuimarika hatuko mbali Sana table Iko vizuri tuache uzembe TU wa kuruhusu timu ndogo kupata matokeo kwetu
Hawa si walikuwa wanajitapa na dark arts hata km wana injury na red cards....leo hii wamekuja na mpya kweli arsenyetoz🤣🤣🤣Na bado hamjaasema ,mtataja visingizio vyote mwaka huu
Ushindi usipopatikana kwenye game, hata mzuka wa kuja huku kutamba na kufanya analysis unapungua.
Mikel afanye mpango tukirudi tutembeze vichapo ili jukwaa letu limeremete.


Eti mtembeze vichapo wakati mechi inayofata mnakutana na mabingwa wa Uefa Nottingham Forest. wewe ngoja turudi.Eti mtembeze vichapo wakati mechi inayofata mnakutana na mabingwa wa Uefa Nottingham Forest.
Masingeli sio mjinga, alishachanga karata zake mapema akajua kabisa misimu huu hata top4 hamtoboi, akaamua kula kona mapemaaa.
Hii ni team ya wapenzi wasindikizaji, Liverpool, Chelsea, Man Utd na Aston Villa atabeba Epl kabla ya Arsenyau. View attachment 3150301
Arteta atakufa na kai wake kuna game unaona kabisa anahitajika jesus ile yeye na kai, kai na yeye.Ile siku ambayo Arteta anaulizwa juu ya kufungwa na akaona ni sawa kwakua ni loss ya kwanza in six months ilitakiwa ile siku aanze kupima wapi tunakosea.
Statistically mechi tulizosuluhu au kupoteza ni chache ndiyo tunakua siyo threat kabisa zingine zote mfano ya leo statistically tumekua threat kuliko mpinzani.
Hazizai matunda kwakua difference maker tuliyenaye ni Kai. Past games tumefungwa kwakua hata high line pressure tulikua hatufanyi. Kocha ashaona defense ya Inter iko vizuri kuzuia krosi means tunahitaji formation na watu ambao 1 2 haziwasumbui.
Alichofanya ni kuamini kwamba it will work.
Kai nilimkataa mapema saana, viwango vya kina martinelli ni mashaka, najiuliza saka ukimpeleka pale westham ama Everton atakuwa saka huyu, timu inahitaji kuboreshwa, inahitaji wachezaji wa daraja la juu, wachezaji na kocha wenye njaa na makombe.Jana nimeangalia timu kwa utulivu mkubwa.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo
Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.
Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.
Kombe tunalichukua msimu huu .., laminate this commentKai nilimkataa mapema saana, viwango vya kina martinelli ni mashaka, najiuliza saka ukimpeleka pale westham ama Everton atakuwa saka huyu, timu inahitaji kuboreshwa, inahitaji wachezaji wa daraja la juu, wachezaji na kocha wenye njaa na makombe.
Msimu ule liver wako hoi, man city tumemuacha gape kubwa la pointi nikasema tukikosa kombe msimu huu tusitarajie ndani ya misimu ijayo tutalipata kirahisi, alikuwa sijui ni will yule ama nani, alinipinga na kunitoa akili, lakini kile nilichokiona ndio tunakipitia...
Sawa mkuu, sikupingi ni marekebisho tu, ligi bado ndefu, ila kama hakuna marekebisho kwa timu hii hii, tusitegemee saana.Kombe tunalichukua msimu huu .., laminate this comment


Isidingo Fc, kwani sasa hivi tuko episode ya ngapi ndugu zangu?