Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

No clean sheet, no points....mnaongoza kizembe tu mnatiwa kidole mamaeeeee...
 
Match 11
Ni Liverpool na Man city tu ndizo timu bora zaidi ya Chelsea

1731263927220.png
 
Saka vs Chelsea :
0 goals
0 assists
0 shots on target
0 chances created
0 accurate crosses In Marc’s pocket all game.

Cucurella MOTM

1731264941431.png
 
Ulivyokua na bahati mbaya umefika tu ndiyo mnashonwa wenzako wamekimbia huu uzi
Siwezi kuwakimbia Arsenyetoz ninyi ni ndugu zetu ila mnamaringo sana na kidomo domo ,leo tumeona tuwahurumie tu ,maana huyu Arteta wenu angezimia hapo uwanjani ,kaanza kukonda naona kichwa tu ,kimwili kinazidi kuwa mifupa tu
 
Mtu anakwambia fukuzeni kocha, yani analopoka tu kama katoka chooni, wakati kweye hii table tumekutana almost timu saba mechi nyingi tukiwa away, huku red card na injury zikituandama
IMG_20241110_225314.jpg
 
Back
Top Bottom