mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Haina shida hizo risiti wewe zitunze, ila tukutane mwakani maynimecheka mpaka nahisi mbavu zinauma.
Ogopa sana kitu inaitwa teknolojia, yaani hapa ninastock ya zaidi ya 2 terabyte(TB) ya risiti zenu na bado naendelea kukusanya risiti nyingine.
Ila mashabiki wa Arsenyau mnafurahisha sana, siwezi kwenda kulipia 50,000 kutazama Cheka Tu wakati humu kuna comedy za bure![]()
Miaka mingi tulikua tuna-struggle mwisho ila msimu huu tuna-struggle mwanzoni.
Siongei sana

