toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,428
- 2,813
Jana nimeangalia timu kwa utulivu mkubwa.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo
Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.
Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo
Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.
Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.