BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Haya ni matokeo ya summer transfer mbovu.Muda huu ndo tunahusishwa na Gyokeres na Sane.Kwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024
View attachment 3031822
i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe
View attachment 3031824
ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.
View attachment 3031825
III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m
View attachment 3031828
iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.
£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
Both Edu na Arteta wapo responsible na hili. Edu kaamua kujikataa.Ukweli mchungu, I think Arteta is next kama kweli akina Kroenke wana-consider trophies kama mafanikio

