Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024

View attachment 3031822

i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe

View attachment 3031824

ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.

View attachment 3031825

III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m

View attachment 3031828

iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.

£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
Haya ni matokeo ya summer transfer mbovu.Muda huu ndo tunahusishwa na Gyokeres na Sane.

Both Edu na Arteta wapo responsible na hili. Edu kaamua kujikataa.Ukweli mchungu, I think Arteta is next kama kweli akina Kroenke wana-consider trophies kama mafanikio
 
Bado siamini, coming close to EPL tittle kwa miaka miwili in row, na response ya next season ni KUMSAJILI STERLING!!!!!!!!
 
Haya ni matokeo ya summer transfer mbovu.Muda huu ndo tunahusishwa na Gyokeres na Sane.

Both Edu na Arteta wapo responsible na hili. Edu kaamua kujikataa.Ukweli mchungu, I think Arteta is next kama kweli akina Kroenke wana-consider trophies kama mafanikio

Nahisi hawakupewa hela..., hao wakina Kroenke wapo responsible miaka mingi tu.

Josh alikuja kuja vzr wakati hali ya timu ilivyokuwa mbaya, tulipoanza kurudi rudi ameitelekeza tena.
 
Jana nimeangalia timu kwa utulivu mkubwa.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo

Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.

Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.
 
Bado siamini, coming close to EPL tittle kwa miaka miwili in row, na response ya next season ni KUMSAJILI STERLING!!!!!!!!
Last summer transfer business at our club was more of a gamble. Mnaacha wachezaji wazuri waliopo sokoni, mnachukua rejects, eg Sterling. Olisse alikuwa sokoni muda mrefu. Huku kwingine kuna Lookman. Midfield ya Merino haijachangamka
 
Kama hatutajifunza kukamilisha maeneo yote with quality basi tusahau makombe.
Narudia,tunamlilia captain ode ila kwenye mech kubwa na zenye pressure ode Huwa anapotea.

Kwa nature ya team yetu tunahitaji ball carriers angalau watatu.

Kazi aliyokuwa anaifanya Saka ilitakiwa awepo mid mwenye uwezo kama yeye au kuzidi ili ku unlock 🔓 za wapinzani au kutengeneza faulo na penati

Partey karudi kwenye quality ila viungo wanaocheza mbele zake hawana maajabu.
 
Phase ya kwanza ya uwanja tuko vizuri
Phase ya pili nayo inajitahidi mnoo
Shida Iko phase ya tatu ya uwanja.

Merino wakati anakuja alikuwa ni longshot dancer ila sijui Nini kimemkuta

Kuna muda unamtazama partey na Saka kwa kazi kubwa wanayoifanya halafu unajiuluza mbona ni kama wanapoteza muda tu.watu wanaowafeed wako too relaxed
 
We need a little patience with ARTETA..., Soon we will be winning trophies
.
1730723351619.jpg
 
Kwangu Mimi naona tunahitaji watu katika maeneo yafuatayo

Striker hasa
DM wa maana
Winger mwenye uwezo wa kucheza both wings
LCM ambaye ni ball carrier na driver hasa

Kama hatutoimarisha quality ndani ya pitch basi tutaishia kuona pattern na structure za team with unconvincing result.

Hapa ndo unatamani mwekezaji mwarabu,pep anamnunua grealish na anamweka bench kama hampi anachotaka
 
Kwangu Mimi naona tunahitaji watu katika maeneo yafuatayo

Striker hasa
DM wa maana
Winger mwenye uwezo wa kucheza both wings
LCM ambaye ni ball carrier na driver hasa

Kama hatutoimarisha quality ndani ya pitch basi tutaishia kuona pattern na structure za team with unconvincing result.

Hapa ndo unatamani mwekezaji mwarabu,pep anamnunua grealish na anamweka bench kama hampi anachotaka
 
Miezi kadhaa na Wiki chache nyuma unakuwa kila ukipita mitaani unakutana na watu kibao wamevaa jezi za arsenyeto na kwenye mabanda umiza wamejazana wakidanganyana km nyinyi humu na dark arts zenu kadri siku zinavyozidi kwenda naona spidi ya kuvaa jezi zetu za arsenyeto zimepungua kwani tatizo linaweza kuwa nini wakuu au ndo back to default settings 😂😂😂😂
 
Kuna muda huwa comment kama hizi zinakuwazisha hivi huyu mtu ni wa kawaida kweli??

Utafikiri Arteta ndio kwanza ana miezi miwili Arsenal.
😂😂😂😂 Hakuna timu itafanikiwa bila kusajili wazee... Arteta hata angekuwaje bila kupewa wachezaji wazuri ni changamoto
 
Miezi kadhaa na Wiki chache nyuma unakuwa kila ukipita mitaani unakutana na watu kibao wamevaa jezi za arsenyeto na kwenye mabanda umiza wamejazana wakidanganyana km nyinyi humu na dark arts zenu kadri siku zinavyozidi kwenda naona spidi ya kuvaa jezi zetu za arsenyeto zimepungua kwani tatizo linaweza kuwa nini wakuu au ndo back to default settings 😂😂😂😂
Kutemewa kohozi double double sio masikhara aisee...
 
Kupata akili nyingine za kijinga kama hiZi bonyeza neno 'INTER MILAN'
We nyumbu sio? Kama ni nyumbu huwezi kukubali anachosema mwamba ila tu nikuuize....
Kwa jinsi arsenal walivyocheza jana,mara ya mwisho nyumbu walicheza ilikuwa lini
 
Back
Top Bottom