Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ile siku ambayo Arteta anaulizwa juu ya kufungwa na akaona ni sawa kwakua ni loss ya kwanza in six months ilitakiwa ile siku aanze kupima wapi tunakosea.

Statistically mechi tulizosuluhu au kupoteza ni chache ndiyo tunakua siyo threat kabisa zingine zote mfano ya leo statistically tumekua threat kuliko mpinzani.

Hazizai matunda kwakua difference maker tuliyenaye ni Kai. Past games tumefungwa kwakua hata high line pressure tulikua hatufanyi. Kocha ashaona defense ya Inter iko vizuri kuzuia krosi means tunahitaji formation na watu ambao 1 2 haziwasumbui.

Alichofanya ni kuamini kwamba it will work.
 
Inawezekana Edu anataka kuondoka Arsenal kwa sababu haelewani na Arteta, especially kuhusu usajili wa Merino. Another reason, could be, he doesn't see a promising future at the club
Mpunga aliotajiwa anapoenda hata wewe usingekataa, labda hayo yamechangia ila pesa atayopokea ni mara tatu ya sasa
 
Kula chuma kinguinea guinea
FB_IMG_1730930547637.jpg
 
We need a little patience with ARTETA..., Soon we will be winning trophies 💪💪
Hizi ndio akili za watu wa asenane.😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20241107_061931_BeSoccer.jpg
    Screenshot_20241107_061931_BeSoccer.jpg
    74.1 KB · Views: 8
Inter 1 vs Arse8 0

😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂
 
Mwamba Kigi alikua anataka kutuaminisha kua mashabiki wote wa Arsenyau wanamfurahia Tetea na wana imani nae, kupitia Teta ball wanaenda kudominate league kwa miaka 10+ consecutively, akataka kutuaminisha mashabiki wa timu nyingine ndio tuna gubu na wivu kwa kocha la ball, bila hiyana imebidi nimtolee risiti za efd za mashabiki lialia wa Arsenyo waliochoshwa na mambo ya pressing na Overlap mara sijui overload, positional play, minyumbuliko, mikimbio mizuri, dark art pamoja na haramu football halafu wanaishia kumaliza msimu mikono mitupu, misimu yote wao wanabaki kua wapenzi wasindikizaji, halafu wanashangaa Nyumbu wanabutua butua tu lakini mwisho wa msimu wanamaliza kwa furaha ya kunyanyua kwapa mpaka na wao wanatamani wawe kama nyumbuView attachment 3145098
Daaah huyo jamaa aliona sie tunafaidi
 
Back
Top Bottom