Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kula chuma kinguinea guinea
FB_IMG_1730930547637.jpg
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
We need a little patience with ARTETA..., Soon we will be winning trophies 💪💪
Hizi ndio akili za watu wa asenane.😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20241107_061931_BeSoccer.jpg
    Screenshot_20241107_061931_BeSoccer.jpg
    74.1 KB · Views: 17
Inter 1 vs Arse8 0

😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂🤣🤣😆😆😅😅😆😆😆😆😆😆😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwamba Kigi alikua anataka kutuaminisha kua mashabiki wote wa Arsenyau wanamfurahia Tetea na wana imani nae, kupitia Teta ball wanaenda kudominate league kwa miaka 10+ consecutively, akataka kutuaminisha mashabiki wa timu nyingine ndio tuna gubu na wivu kwa kocha la ball, bila hiyana imebidi nimtolee risiti za efd za mashabiki lialia wa Arsenyo waliochoshwa na mambo ya pressing na Overlap mara sijui overload, positional play, minyumbuliko, mikimbio mizuri, dark art pamoja na haramu football halafu wanaishia kumaliza msimu mikono mitupu, misimu yote wao wanabaki kua wapenzi wasindikizaji, halafu wanashangaa Nyumbu wanabutua butua tu lakini mwisho wa msimu wanamaliza kwa furaha ya kunyanyua kwapa mpaka na wao wanatamani wawe kama nyumbu[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 3145098
Daaah huyo jamaa aliona sie tunafaidi
 
Kwa makadirio ya £200±mil, we are favorite kwenye UCL na EPL 2024/2024

View attachment 3031822

i/ VICTOR OSIMNHEM
~ £ 80 mil. Kocha mpya wa Napoli, Conte, few weeks ametaja wachezaji wake muhimu Kwa 24/25 na Osimnhem si mmoja wao. Na ukitoa release clause yake ( £ 120m, ana makubaliano na Napoli, timu ikifika £80m plus, auzwe

View attachment 3031824

ii/ NIKO WILLIAMS
Hapa ndo kitonga kabisa, jamaa ana release clause ya £49m. Lipa beba mchezaji.

View attachment 3031825

III/ JOSHUA KIMMICH
Amebakiza mwaka mmoja na wajerumani. Amekataa kusaini mkataba mpya. Option rahisi na ya kibiashara kwa Bayern, ni kumuuza. Umri and everything (29y) Bayern hawakatai £35m

View attachment 3031828

iv/ RICARDO CALAFIORI
Kitasa haswaaa cha kiitalia.Only 22y LCB, LB. Doing AKE/GVARDIOL energy na TIMBER/MAGALHAES. Ukiweka £45m mezani, unabeba pia.

£(80+49+35+45)m inakuja kama £210m hapo. The second thing, wage ya wachezaji. Can't be issue kama tunataka kweli mafanikio
Haya ni matokeo ya summer transfer mbovu.Muda huu ndo tunahusishwa na Gyokeres na Sane.

Both Edu na Arteta wapo responsible na hili. Edu kaamua kujikataa.Ukweli mchungu, I think Arteta is next kama kweli akina Kroenke wana-consider trophies kama mafanikio
 
Bado siamini, coming close to EPL tittle kwa miaka miwili in row, na response ya next season ni KUMSAJILI STERLING!!!!!!!!
 
Haya ni matokeo ya summer transfer mbovu.Muda huu ndo tunahusishwa na Gyokeres na Sane.

Both Edu na Arteta wapo responsible na hili. Edu kaamua kujikataa.Ukweli mchungu, I think Arteta is next kama kweli akina Kroenke wana-consider trophies kama mafanikio

Nahisi hawakupewa hela..., hao wakina Kroenke wapo responsible miaka mingi tu.

Josh alikuja kuja vzr wakati hali ya timu ilivyokuwa mbaya, tulipoanza kurudi rudi ameitelekeza tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom