Tuacheni na phase zetu 🤣🤣Tunampa misimu yake miwili kama hana kombe la kueleweka tunamtimua.
MUFC sio mid table team tufuge ujinga misimu 6 kwa kudanganyana trust the process na phase zisizo na mwisho. View attachment 3146094
Kai harverts uefa champions league winner akifunga goli muhimu na kuwapa Blues champions league ya pili.NimemalizaJana nimeangalia timu kwa utulivu mkubwa.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo
Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.
Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.
Kupata "povu" jingine kama hili bonyeza neno "INTER"We nyumbu sio? Kama ni nyumbu huwezi kukubali anachosema mwamba ila tu nikuuize....
Kwa jinsi arsenal walivyocheza jana,mara ya mwisho nyumbu walicheza ilikuwa lini
Wazee tuongezeni angalau pesa kidogo kwa Harvetz mashine ya kazi. Acheni ubahili basi.Jana nimeangalia timu kwa utulivu mkubwa.
Pattern zilikuwa sawa
Structure almost zilikuwa sawa.
Ila tulikosa quality baadhi ya maeneo
Kwakweli with my whole heart nasema Kai hatufai kama tunataka makombe ya kueleweka.
Movements zake akiwa na mpira ni za kawaida mno na mbaya zaidi hana Ile instinct ya mshambuliaji.
Yeye ni back pass na kukimbiakimbia.
Nyie hamjui mpira. Ni bahati tu ilikuwa kwao,ila ushindi ulikuwa wetuKupata "povu" jingine kama hili bonyeza neno "INTER"
SawaNyie hamjui mpira. Ni bahati tu ilikuwa kwao,ila ushindi ulikuwa wetu
Another turn of events at Amex stadium.What a terrible turn of events at Falmer stadium!!
Ooooh wait, we love this terrible turn of events at Falmer stadium!!
Wamelala 4 in a rowHizi dakika 9 za nyongeza zimetoka wapi sijui. Ni lazima Man City wachomoe dakika za mwisho?
Halafu mkiambiwa mna mtindio mnabisha.Ili tumfikie City na Liver ni muhimu game ya kesho tufe na mtu.
Hatuhitaji draw, tunahitaji ushindi..iwe kwa goli moja au 4 ili mradi ushindi.