Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Predictable style of play. Hakuna plan B.Hivi hiki kijamaa kitatunyanyasa hadi lini? Tumeshindwa kukadhibiti kabisa?
Predictable style of play. Hakuna plan B.Hivi hiki kijamaa kitatunyanyasa hadi lini? Tumeshindwa kukadhibiti kabisa?
Huu msimu hata sioni tukiwa washindani. Tufanye maisha mengine


Tafuteni kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu nyie mtakua ni wapenzi wasindikizaji tu.Matokeo ni fulltime newcastle 1-0 yatima boko haram 🤣Matokeo mpaka sasa yakoje we KENGE.
Matokeo ni fulltime newcastle 1-0 yatima boko haram 🤣Matokeo mpaka sasa yakoje we KENGE.
Well, well... Kwanza naomba ufahamu mimi ni shabiki mkubwa wa Wenger, yeye na Henry ndio walinifanya niishabikie Arsenal.Predictable style of play. Hakuna plan B.
Kwani Arteta katufikisha wapi?
Nifa niko na wewe mpaka wakuue 😅Hivi hiki kijamaa kitatunyanyasa hadi lini? Tumeshindwa kukadhibiti kabisa?
Ijayo mnakutana na chelsea ,Hii mechi imeniuma mno, dah!
Hawezi kubadilika huyo mbishi sana.Tulifungwa na Bournemouth Arteta alivyohojiwa akajibu
"In context we have lost once in 6 months"
Boss felt we are invincible and here we are. Usually hii ni tabia inaanza kabla ya a great fall.
Arteta ajirekebishe, some mistakes tunaweza ziona hata watazamaji. Aache ujinga
Hawezi kubadilika huyo mbishi sana.Tulifungwa na Bournemouth Arteta alivyohojiwa akajibu
"In context we have lost once in 6 months"
Boss felt we are invincible and here we are. Usually hii ni tabia inaanza kabla ya a great fall.
Arteta ajirekebishe, some mistakes tunaweza ziona hata watazamaji. Aache ujinga
VP bado inqkupa confidence?🤣Hii ndiyo timu inayonipa confidence dhidi ya mpinzani yoyote, Partey at #6, Rice & Martin odegaard, 4CBs white, Saliba, Gabriel & Timber, 3 Attackers- Saka, Martinelli & havertz, that's my dream team