Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shakhtar ni viazi,

Wenzao wote siku hizi wanatuwashia moto from minute 1 ndiyo wanatufunga wametuacha kipindi cha kwanza tucheze tokomile tumewabahatisha moja.

Wanakuja kuzinduka wamechelewa
 
Arsenal sasa hivi tunacheza kama kipindi cha kwanza Arteta alivyotupokea.

Ni back passes na sideway passes.

Kama umeangalia mechi utagundua kila Martinelli akipata mpira Calafiori alikua anaoverlap kwa speed akitaka agewe thru ball Martinelli badala ya kupeleka mpira anachagua kupiga sideway pass.

Sehemu ambayo hakutakiwa kupeleka mpira ndiyo akampelekea Trossard, kwenye move ya 3 against 2.

Rice akipata mpira unaona Kai kule mbele anafanya run inayohitaji long ball, Rice anachofanya ni kupiga side way pass.

Jesus anapata mpira, Ben anaoverlap Jesus hapeleki mpira anapiga back pass.

Hii style ya mpira ilikua tunafungwa timu pinzani ikiamua ku-high press na intensity movements kuja mbele. Ndiyo hichi kipindi ilikua tuna possession kubwa ila tumefungwa 1 - 0 au 2 - 1.

Notice kwamba hata Shakhtar alivyorudi kipindi cha pili akaamua kua sasa nafanya msako alipata fursa nyingi tu mbele ya goli. Kilichotubeba ni defense hakuepo Mustafi, Luiz, Sokratis na kipa Cech.

Jambo jingine ni hili. Tuna kipa mzuri sana. Sitaelezea chochote ila tuna kipa mzuri sana.
 
Screenshot 2024-10-23 at 09.11.29.png
 
Nimeikuta sehemu nikasema ngoja niwasalimie false hopers mpo
False hope Fc kwenye ubora wao, wenyewe kila msimu kazi yao ni kupeana matumaini hewa tu.
Msimu wa 2023/2024 bendera ya Ufalse hope alipewa Martin Ordegaard.
Msimu huu wa 2024/2025 kibendera kakabidhiwa Bakari Sakanyoka.
Halafu wanamaliza mikono mitupu msimu unaofata kibendera atachukua Ben Kinyaia
1715762060341.jpg
Screenshot_20241002-230449.jpg
 
Back
Top Bottom