Timber na Saka wote wametrainHivi Saka na Timber watakuwepo mechi na Liverpool bado wanauguza majeraha
Timber na Saka wote wametrainHivi Saka na Timber watakuwepo mechi na Liverpool bado wanauguza majeraha
Liva wepesi hata mkiwa pungufu mnajipgia.Arteta ameongea kwa confidence juu ya performance dhidi ya Liverpool mpaka baadhi ya mashabiki wamehisi inawezekana hata Odegaard yupo kwenye first 11.
Hahaha una uhakika kwa % ngapi?Kesho tunaleta msiba hapa wazee, mtatusamehe.
Nyinyi mlikua full na akawaburuza vibayaLiva wepesi hata mkiwa pungufu mnajipgia.
80% mkuu.Hahaha una uhakika kwa % ngapi?
Watengeneza odds beg to differ80% mkuu.
We si unaona nidhamu ya SLOT dhidi ya wapinzani.
Mtego huo.
Nyinyi siyo wabaya ila task yetu ni kuongeza idadi ya ushindi dhidi yenu.Mtego huo.
Kesho Kanji anawatoa undenda magamblers
Uliuangalia mpira lkn??? Muwe mnaangalia mipira mingine sio mnaangalia Arsenal tu kila siku matokeo yake mnajiona mna bonge la timu kumbe kikundi cha baikoko.Nyinyi mlikua full na akawaburuza vibaya
Timu yenu ambayo siyo kikundi cha baikoko na msimu ujao haiendi uefaUliuangalia mpira lkn??? Muwe mnaangalia mipira mingine sio mnaangalia Arsenal tu kila siku matokeo yake mnajiona mna bonge la timu kumbe kikundi cha baikoko.
Mpira ni Magoli,kikubwa mligongwa full stopUliuangalia mpira lkn??? Muwe mnaangalia mipira mingine sio mnaangalia Arsenal tu kila siku matokeo yake mnajiona mna bonge la timu kumbe kikundi cha baikoko.
Flano Ally pipi
Hamis77 kumbe yupo bhana kaanzisha uzi, kahamia kwenye vita ya wayahudi na waarabu
Labyrinth 84


Masingeli hii timu ilishamtokea puani tayari, sasa hivi hataki kusikia habari zozote kuhusu Arsenyau, hata huko kwenye majukwaa mengine ukichomekea mambo ya Asaninyau ana logout. 








Huko UEFA mnapoenda nyie mnaendaga kufanya nini??Timu yenu ambayo siyo kikundi cha baikoko na msimu ujao haieni uefa
Nyinyi tunaowaacha matopeni hua mnafanya nini sisi wenye timu ya kimataifa tukiondoka?Huko UEFA mnapoenda nyie mnaendaga kufanya nini??
Mwingine huyu wa livescore, kwa hiyo ww ukishaangalia livescore basii inatosha, halafu ukitoka hapo unakuja kutupgia kelele kumbe hujui kitu. ShuubamitMpira ni Magoli,kikubwa mligongwa full stop
Kwani Chelsea ipo nafasi ya ngapi??tuanze na hilo kwanza,pili Msimu uliyopita Arsenal alikugonga Goli 5,sahihi si sahihi?Mwingine huyu wa livescore, kwa hiyo ww ukishaangalia livescore basii inatosha, halafu ukitoka hapo unakuja kutupgia kelele kumbe hujui kitu. Shuubamit