Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ameongea kwa confidence juu ya performance dhidi ya Liverpool mpaka baadhi ya mashabiki wamehisi inawezekana hata Odegaard yupo kwenye first 11.
 
80% mkuu.
We si unaona nidhamu ya SLOT dhidi ya wapinzani.
Watengeneza odds beg to differ

Screenshot_2024-10-26-10-03-28-381_com.android.chrome-edit.jpg
 
Flano Ally pipi
Hamis77 kumbe yupo bhana kaanzisha uzi, kahamia kwenye vita ya wayahudi na waarabu
Labyrinth 84
Masingeli hii timu ilishamtokea puani tayari, sasa hivi hataki kusikia habari zozote kuhusu Arsenyau, hata huko kwenye majukwaa mengine ukichomekea mambo ya Asaninyau ana logout.
Msimu ulioisha Arsenyo ilimuachia majeraha yasiyopona
Hili litimu jinsi lilivyomtenda, sasa hivi hana tofauti na wale wanaosema Wanaume wote ni mbwa tu
Hii ndio hali anayopitia Masingeli kwa sasa juu ya Arsenyani
 
Mwingine huyu wa livescore, kwa hiyo ww ukishaangalia livescore basii inatosha, halafu ukitoka hapo unakuja kutupgia kelele kumbe hujui kitu. Shuubamit
Kwani Chelsea ipo nafasi ya ngapi??tuanze na hilo kwanza,pili Msimu uliyopita Arsenal alikugonga Goli 5,sahihi si sahihi?
 
Back
Top Bottom