Tulieni majirani Kila mtu atafungwa kwa wakati wake....tosin wa Chelsea kafanya faulo kama alofanya Saliba lakini kala yellow card ila Saliba kala umeme.....ni mambo kama haya ndo yanafanya watu waone kuna uonezi....jinsi tunqvyoqdhibiwa sisi na timu zingine iwe hvyohvyo sio sisi wafate sheria kwlikwli halafu kwa wengine wawe wanajiuliza mara mbilimbiliTimu haina nidhamu kila wiki wanakula red card halafu wanasingizia FA na City wanawafitini.
Yule Arteta ni mhuni na mpira anafundisha kihuni tu. Kama unaikumbuka Everton ya Moyes ikiwa na wahuni akina fellain na Cahill, utajua utashi wa arteta na arsenal yake hii.
Halafu akina arsenal2004 na Castr na genge lote humu wanajisifia kuwa anacheza haramu football.
Tulieni majirani Kila mtu atafungwa kwa wakati wake....tosin wa Chelsea kafanya faulo kama alofanya Saliba lakini kala yellow card ila Saliba kala umeme.....ni mambo kama haya ndo yanafanya watu waone kuna uonezi....jinsi tunqvyoqdhibiwa sisi na timu zingine iwe hvyohvyo sio sisi wafate sheria kwlikwli halafu kwa wengine wawe wanajiuliza mara mbilimbili



Jesus leo anapiga kazi sana leoJesus NOOOOOOOOOO
Hawa jamaa defense yao iko poor kipa ndo anaokoa jahazi. Tukaze tufunge goli nyingi jamani.Tunacheza kawaida mno