Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

LADDER2.png
 
Timu haina nidhamu kila wiki wanakula red card halafu wanasingizia FA na City wanawafitini.
Yule Arteta ni mhuni na mpira anafundisha kihuni tu. Kama unaikumbuka Everton ya Moyes ikiwa na wahuni akina fellain na Cahill, utajua utashi wa arteta na arsenal yake hii.

Halafu akina arsenal2004 na Castr na genge lote humu wanajisifia kuwa anacheza haramu football.
Tulieni majirani Kila mtu atafungwa kwa wakati wake....tosin wa Chelsea kafanya faulo kama alofanya Saliba lakini kala yellow card ila Saliba kala umeme.....ni mambo kama haya ndo yanafanya watu waone kuna uonezi....jinsi tunqvyoqdhibiwa sisi na timu zingine iwe hvyohvyo sio sisi wafate sheria kwlikwli halafu kwa wengine wawe wanajiuliza mara mbilimbili
 
Tulieni majirani Kila mtu atafungwa kwa wakati wake....tosin wa Chelsea kafanya faulo kama alofanya Saliba lakini kala yellow card ila Saliba kala umeme.....ni mambo kama haya ndo yanafanya watu waone kuna uonezi....jinsi tunqvyoqdhibiwa sisi na timu zingine iwe hvyohvyo sio sisi wafate sheria kwlikwli halafu kwa wengine wawe wanajiuliza mara mbilimbili
1728754209983.jpg
 
Misukule imeshaanza kuichoka timu yao, leo Arsenyau inacheza halafu jukwaa limepoa hakuna hata comment moja mpaka jioni hii
Wazee wa Haram Football mapema hii mmeshatupa taulo?
1724315601560.jpg
 
Arteta haamini vijana wenye talent kama Nanweri anaamini takataka zake kama sterling,Jesus etc
 
Back
Top Bottom