Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tulieni majirani Kila mtu atafungwa kwa wakati wake....tosin wa Chelsea kafanya faulo kama alofanya Saliba lakini kala yellow card ila Saliba kala umeme.....ni mambo kama haya ndo yanafanya watu waone kuna uonezi....jinsi tunqvyoqdhibiwa sisi na timu zingine iwe hvyohvyo sio sisi wafate sheria kwlikwli halafu kwa wengine wawe wanajiuliza mara mbilimbili
1728754209983.jpg
 
Misukule imeshaanza kuichoka timu yao, leo Arsenyau inacheza halafu jukwaa limepoa hakuna hata comment moja mpaka jioni hii
Wazee wa Haram Football mapema hii mmeshatupa taulo?
1724315601560.jpg
 
Arteta haamini vijana wenye talent kama Nanweri anaamini takataka zake kama sterling,Jesus etc
 
Shakhtar ni viazi,

Wenzao wote siku hizi wanatuwashia moto from minute 1 ndiyo wanatufunga wametuacha kipindi cha kwanza tucheze tokomile tumewabahatisha moja.

Wanakuja kuzinduka wamechelewa
 
Back
Top Bottom