Unajiita wa kimataifa na hauna hata kombe moja la kitaifa, sijui unaelewa unachokiandika? au shibe imeshakulevya?Nyinyi tunaowaacha matopeni hua mnafanya nini sisi wenye timu ya kimataifa tukiondoka?
Unajiita wa kimataifa na hauna hata kombe moja la kitaifa, sijui unaelewa unachokiandika? au shibe imeshakulevya?Nyinyi tunaowaacha matopeni hua mnafanya nini sisi wenye timu ya kimataifa tukiondoka?
Ila leo una hasira mwanetu.Unajiita wa kimataifa na hauna hata kombe moja la kitaifa, sijui unaelewa unachokiandika? au shibe imeshakulevya?
Mzee wa livescore, hata tuwe nafasi ya 10 na wewe ya kwanza inakusaidia nini? Goli tano zilikusaidia nini? City watakwambia walikuchukua EPL wewe na mimi wote hatuna tulichopata. We kama furaha yako ni kuangalia livescore Arsenal cjui ipo ya ngapi endelea kufurahia livescore.Kwani Chelsea ipo nafasi ya ngapi??tuanze na hilo kwanza,pili Msimu uliyopita Arsenal alikugonga Goli 5,sahihi si sahihi?
Kocha wenu kamwambia Reece James alitarajia kwakua ni kapteni basi ajitoe kuliko wengine.Mzee wa livescore, hata tuwe nafasi ya 10 na wewe ya kwanza inakusaidia nini? Goli tano zilikusaidia nini? City watakwambia walikuchukua EPL wewe na mimi wote hatuna tulichopata. We kama furaha yako ni kuangalia livescore Arsenal cjui ipo ya ngapi endelea kufurahia livescore.
Arsenal mmenyewa nyie kila msimu mtaishia kushangilia vitu visivyoeleweka mlianza phase, mkaja kushangilia goal difference, overlod, sahv mna boko haram, dark arts sijui msimu ujao mtakuja na vituko gani, yaan kama wehu vile.
Kwamba highline yao wanacheza, wanauwezo wa kutu winn kwa upande uo kwanza?Msimu uliopita niliona Barca wanajitafuta hata tungekutana nao niliamini we have a chance.
Msimu huu? We have a chance but ni suluhu zaidi kuliko kushinda.
Madrid ina forwards na mid ambazo hazisaidii defense. Timu yao siyo compact kwenye defense.
Attacking yao imetengenezwa katika kumtegemea Mbappe na Vinicius ambao hawana mpango wa kusaidia defense. Hii inafanya wawe mizigo zaidi.
Magoli yote waliyofungwa Madrid yatafanya ujiulize defense ilikua wapi?
So Barca ya msimu huu dhidi ya sisi naona ni suluhu zaidi kuliko sisi kushinda. Msimu uliopita tungeweza shinda na hakuna ambaye angeshangaa
Also we are good in set pieces
Ukimtoa Lewandowski waliobaki wote wanashiriki kudefendKwamba highline yao wanacheza, wanauwezo wa kutu winn kwa upande uo kwanza?
arsenal hatuwezi shinda kwa barcelona iliyocheza jana hata sare tuu haiwezekani.Msimu uliopita niliona Barca wanajitafuta hata tungekutana nao niliamini we have a chance.
Msimu huu? We have a chance but ni suluhu zaidi kuliko kushinda.
Madrid ina forwards na mid ambazo hazisaidii defense. Timu yao siyo compact kwenye defense.
Attacking yao imetengenezwa katika kumtegemea Mbappe na Vinicius ambao hawana mpango wa kusaidia defense. Hii inafanya wawe mizigo zaidi.
Magoli yote waliyofungwa Madrid yatafanya ujiulize defense ilikua wapi?
So Barca ya msimu huu dhidi ya sisi naona ni suluhu zaidi kuliko sisi kushinda. Msimu uliopita tungeweza shinda na hakuna ambaye angeshangaa
Also we are good in set pieces
Sare tunaipata ushindi ndiyo kimbembe.arsenal hatuwezi shinda kwa barcelona iliyocheza jana hata sare tuu haiwezekani.
BOra we umekuwa mkweli😂arsenal hatuwezi shinda kwa barcelona iliyocheza jana hata sare tuu haiwezekani.
Ili kuwaza kumfunga Barcelona tufikirie kama tunaweza kumfunga madrid na bayern within a space of 3 days?Sare tunaipata ushindi ndiyo kimbembe.
Madrid wanaachia spaces mno.
Ukitrace Bayern walivyofungwa ni mid mbovu na walisusiwa possession wakatafutwa kwenye transition.
Mi naona suluhu tunaipata, ushindi ndiyo tutausaka kwa tochi.
Tumalizane na Liverpool leo kabla hatujawawazia hao jamaa 😅
We played against Bayern umeona strengths na umeona weaknesses zetu.Ili kuwaza kumfunga Barcelona tufikirie kama tunaweza kumfunga madrid na bayern within a space of 3 days?
Mnakumbuka Saliba hayupo?![]()


Kwa hio ndio umeamua kuwatisha wenzio wasiende hata kibanda umiza kuangalia game?

