Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unajiita wa kimataifa na hauna hata kombe moja la kitaifa, sijui unaelewa unachokiandika? au shibe imeshakulevya?
Ila leo una hasira mwanetu.

Sasa kwani Uefa nacheza na kenge au nyumbu? Si timu za nchi zingine? Sasa wewe ambacho huelewi kwamba hiyo tournament ni ya kimataifa na washiriki ni timu za kimataifa ni nini?
 
Kwani Chelsea ipo nafasi ya ngapi??tuanze na hilo kwanza,pili Msimu uliyopita Arsenal alikugonga Goli 5,sahihi si sahihi?
Mzee wa livescore, hata tuwe nafasi ya 10 na wewe ya kwanza inakusaidia nini? Goli tano zilikusaidia nini? City watakwambia walikuchukua EPL wewe na mimi wote hatuna tulichopata. We kama furaha yako ni kuangalia livescore Arsenal cjui ipo ya ngapi endelea kufurahia livescore.

Arsenal mmenyewa nyie kila msimu mtaishia kushangilia vitu visivyoeleweka mlianza phase, mkaja kushangilia goal difference, overlod, sahv mna boko haram, dark arts sijui msimu ujao mtakuja na vituko gani, yaan kama wehu vile.
 
Madrid inakua kama sisi enzi hizo.

Ushajua aina hii ya kona hainipi msaada ila ndiyo unakomaa nayo mwanzo mwisho.

Kona zaidi ya 6 na hakuna tishio hata moja
 
Mzee wa livescore, hata tuwe nafasi ya 10 na wewe ya kwanza inakusaidia nini? Goli tano zilikusaidia nini? City watakwambia walikuchukua EPL wewe na mimi wote hatuna tulichopata. We kama furaha yako ni kuangalia livescore Arsenal cjui ipo ya ngapi endelea kufurahia livescore.

Arsenal mmenyewa nyie kila msimu mtaishia kushangilia vitu visivyoeleweka mlianza phase, mkaja kushangilia goal difference, overlod, sahv mna boko haram, dark arts sijui msimu ujao mtakuja na vituko gani, yaan kama wehu vile.
Kocha wenu kamwambia Reece James alitarajia kwakua ni kapteni basi ajitoe kuliko wengine.

Akaulizwa nani atarithi mikoba akajibu hii timu ni mbovu hakuna anayefaa. Nashauri kachukue kitambaa cha ukapteni uwe busy uache kushare frustrations zako humu
 
Msimu uliopita niliona Barca wanajitafuta hata tungekutana nao niliamini we have a chance.

Msimu huu? We have a chance but ni suluhu zaidi kuliko kushinda.

Madrid ina forwards na mid ambazo hazisaidii defense. Timu yao siyo compact kwenye defense.

Attacking yao imetengenezwa katika kumtegemea Mbappe na Vinicius ambao hawana mpango wa kusaidia defense. Hii inafanya wawe mizigo zaidi.

Magoli yote waliyofungwa Madrid yatafanya ujiulize defense ilikua wapi?

So Barca ya msimu huu dhidi ya sisi naona ni suluhu zaidi kuliko sisi kushinda. Msimu uliopita tungeweza shinda na hakuna ambaye angeshangaa

Also we are good in set pieces
 
Nikawa najiuliza kwanini Madrid imtake Saliba wakati wana Militao na Rudiger.

Barca wamewaexpose vibaya hawa jamaa
 
Msimu uliopita niliona Barca wanajitafuta hata tungekutana nao niliamini we have a chance.

Msimu huu? We have a chance but ni suluhu zaidi kuliko kushinda.

Madrid ina forwards na mid ambazo hazisaidii defense. Timu yao siyo compact kwenye defense.

Attacking yao imetengenezwa katika kumtegemea Mbappe na Vinicius ambao hawana mpango wa kusaidia defense. Hii inafanya wawe mizigo zaidi.

Magoli yote waliyofungwa Madrid yatafanya ujiulize defense ilikua wapi?

So Barca ya msimu huu dhidi ya sisi naona ni suluhu zaidi kuliko sisi kushinda. Msimu uliopita tungeweza shinda na hakuna ambaye angeshangaa

Also we are good in set pieces
Kwamba highline yao wanacheza, wanauwezo wa kutu winn kwa upande uo kwanza?
 
Msimu uliopita niliona Barca wanajitafuta hata tungekutana nao niliamini we have a chance.

Msimu huu? We have a chance but ni suluhu zaidi kuliko kushinda.

Madrid ina forwards na mid ambazo hazisaidii defense. Timu yao siyo compact kwenye defense.

Attacking yao imetengenezwa katika kumtegemea Mbappe na Vinicius ambao hawana mpango wa kusaidia defense. Hii inafanya wawe mizigo zaidi.

Magoli yote waliyofungwa Madrid yatafanya ujiulize defense ilikua wapi?

So Barca ya msimu huu dhidi ya sisi naona ni suluhu zaidi kuliko sisi kushinda. Msimu uliopita tungeweza shinda na hakuna ambaye angeshangaa

Also we are good in set pieces
arsenal hatuwezi shinda kwa barcelona iliyocheza jana hata sare tuu haiwezekani.
 
arsenal hatuwezi shinda kwa barcelona iliyocheza jana hata sare tuu haiwezekani.
Sare tunaipata ushindi ndiyo kimbembe.

Madrid wanaachia spaces mno.

Ukitrace Bayern walivyofungwa ni mid mbovu na walisusiwa possession wakatafutwa kwenye transition.

Mi naona suluhu tunaipata, ushindi ndiyo tutausaka kwa tochi.

Tumalizane na Liverpool leo kabla hatujawawazia hao jamaa 😅
 
Sare tunaipata ushindi ndiyo kimbembe.

Madrid wanaachia spaces mno.

Ukitrace Bayern walivyofungwa ni mid mbovu na walisusiwa possession wakatafutwa kwenye transition.

Mi naona suluhu tunaipata, ushindi ndiyo tutausaka kwa tochi.

Tumalizane na Liverpool leo kabla hatujawawazia hao jamaa 😅
Ili kuwaza kumfunga Barcelona tufikirie kama tunaweza kumfunga madrid na bayern within a space of 3 days?
 
Ili kuwaza kumfunga Barcelona tufikirie kama tunaweza kumfunga madrid na bayern within a space of 3 days?
We played against Bayern umeona strengths na umeona weaknesses zetu.

In theory Bayern kazidi kua hovyo kuanzia sisi tumekutana naye mpaka msimu huu.

Kama tunakutana leo na Bayern au Madrid kila mmoja akiwa na kikosi chake alichonacho na majeruhi alionao sioni tukishinda
 
Back
Top Bottom