Tafuteni kocha wa kueleweka, huyo Tetea wenu hawezi kuwafikisha kokote, kila msimu nyie mtakua wasindikizaji tu.
Tetea ni kocha wa Mid table team, nawahakikishia angekua anafundisha Brighton au Spurs hata misimu miwili asingemaliza wangekua wameshamtimua, msiwaone Barca ni wajinga sana kwa kumtimua Xavi au Madrid ni wapuuzi kumtimua Zidane.
Tetea hafai hata kuwa kocha wa timu ya wanawake, sehemu pekee yenye tija kwake ni kufundisha na kuwalea watoto wa Academy, tena hao watoto wenyewe inabidi muwatafutie kocha wa nidhamu la sivyo lazima wataharibikia kwenye mikono ya Tetea.
Beki wa timu ni Ben Kinyaia halafu mnategemea mwisho wa msimu timu ibebe kombe, hivi mnakuaga serious kweli au mnajijua kua mnafanya comedy show? View attachment 3130230
Ukitaka kujua hawa jamaa wanashida mahali, watakuja kudiscus hapa kuwa marefa wanawahujumu kwa kuwapa red card utafikiri red card wanapewa Arsenal peke yao, timu nyingine hazipewi red card.
Sijui kuna tatizo gani la kula red kadi kila baada ya wiki, hivi sasa tuna 3 hata robo ya ligi bado. Kwa mwendo huu msimu huu tutakuwa na kumi na hatari ya kucheza Champions League mwaka ujao tukakosa, let alone ubingwa wa EPL.
Ukitaka kujua hawa jamaa wanashida mahali, watakuja kudiscus hapa kuwa marefa wanawahujumu kwa kuwapa red card utafikiri red card wanapewa Arsenal peke yao, timu nyingine hazipewi red card. View attachment 3130281
Wasipochukua Man City kombe mtabeba nyny mkuuπ€ π€ π€ ....maana unawashwawashwa sana kuona tunateleza ila wapi....nakukumbusha siku za kulipanq deni zinakaribia....TAfuteni kipa na mabeki wa kueleweka....hatutaki lawama siku hyo